Makapuku Forum

Acheni Kutoka Kimapenzi na Wazee Eti Kisa Wana Hela, Nyie Tokeni Na sisi Vijana Japo Hatuna Hela, Ila Kumbukeni Hatuwezi kutokua na Hela Milele yote.. Tutazipata Tu.


NB: Nimewasemea tu makapuku
 
...umeanza kufanya ramli chonganishi. Kwa karibu mwaka mzima sasa nasema hela hatujalipwa, korosho wananunua wanajeshi, wametuambia tusubiri tutalipwa. Mimi ni nani nikadai kwa nguvu. Jamani hebu muwe na huruma kidogo basi
Hahahaha

Sawa binamu,,nmekuelewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…