Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Naomba wimbo wa down wajay sean binam
....jihesabu una bahati sana, ndugu zake ni wakarimu sana, hatakuangusha
....jihesabu una bahati sana, ndugu zake ni wakarimu sana, hatakuangusha
...umeangua kama mwanaisakojia na sosholojia kwa pamoja, kwa kweli mimi nilimpenda kwa sababu ndani nimenunua kiroba cha mchele, maharage kilo 25 na nyama ziko kwenye friji, sasa nilitaka mtu tusaidiane kula. Lakini ndo hivyo kuna watu hawana njaa
Usijar,tupo pamoja hapa,,
Ulisema uzima wangu,uzima wako,,,usingiz wako usingiz wangu pia,,,usingiz ukihama hata kwangu unahama pia
Ukope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,...binamu acha tu yaani namba za madam ndo hivyo zinajaza phonebook yangu tu ila nitalipwa tu na nitasahau kama nilisubiri sana kulipwa.
Ukiacha hii smart TV nimekopa DVD player-inaplay hadi blu-rays, nataka kuyafanya maisha yawe rahisi binamu si unajua zama hizi zilivyo, kama unamjua mtu anauza usafiri mzuri wa bodaboda nistue, au nitakuja kumkopa kwa jina lako nikilipwa tu ninamlipa
Kwa nn penzi likiwa changa linakuwa hot subir mzoeane kama mwezi mnabadilika why
...duh, kama mapacha vile? Yai kwa mfano ukijisikia kuchepuka na yeye anajisikia hivyo hivyo au haiapply hapa
.....haya mazoea yakishafikia kiwango cha kujambiana usiku wa manane basi penzi linakuwa cold sana. Ndo mzunguko ulivyo, maana inafikia muda unaishia tu kuweka mkono kuangalia kama ipo
nimependa hapaUkope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,
Mm mwenyew nilikuwa nategemea huo mpunga wa koroshow unigawawie kidogo,,nilitaka twende tanga huko bibie hapa,,tukaweka mambo sawa,,,siunajua sitaki kumchezea binti wa watu.
Mazoea,,mazoea hujenga tabia,,kuchukuliana poa,mnakuwa mnaona kama hakuna jipya tena maana tyl mmezoeana kumbe si kweli,,kwenye mapenz bhana mnatakiw muwe wapya kila sikuKwa nn penzi likiwa changa linakuwa hot subir mzoeane kama mwezi mnabadilika why
Mazoea,,mazoea hujenga tabia,,kuchukuliana poa,mnakuwa mnaona kama hakuna jipya tena maana tyl mmezoeana kumbe si kweli,,kwenye mapenz bhana mnatakiw muwe wapya kila siku
Hahahah alikuambia ana njaa??kwan kwao alikuwa anamiss hyo misosi uliyonunua...umeangua kama mwanaisakojia na sosholojia kwa pamoja, kwa kweli mimi nilimpenda kwa sababu ndani nimenunua kiroba cha mchele, maharage kilo 25 na nyama ziko kwenye friji, sasa nilitaka mtu tusaidiane kula. Lakini ndo hivyo kuna watu hawana njaa
Hahahah alikuambia ana njaa??kwan kwao alikuwa anamiss hyo misosi uliyonunua
Hahahahaha hiyo haiapply hapa!!inasema NOT APPLICABLE...duh, kama mapacha vile? Yai kwa mfano ukijisikia kuchepuka na yeye anajisikia hivyo hivyo au haiapply hapa
Kweli bae?nimependa hapa
Sawa love!!Tulale

Ukope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,
Mm mwenyew nilikuwa nategemea huo mpunga wa koroshow unigawawie kidogo,,nilitaka twende tanga huko bibie hapa,,tukaweka mambo sawa,,,siunajua sitaki kumchezea binti wa watu.