Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahagga pole
...umeangua kama mwanaisakojia na sosholojia kwa pamoja, kwa kweli mimi nilimpenda kwa sababu ndani nimenunua kiroba cha mchele, maharage kilo 25 na nyama ziko kwenye friji, sasa nilitaka mtu tusaidiane kula. Lakini ndo hivyo kuna watu hawana njaa
 
...binamu acha tu yaani namba za madam ndo hivyo zinajaza phonebook yangu tu ila nitalipwa tu na nitasahau kama nilisubiri sana kulipwa.

Ukiacha hii smart TV nimekopa DVD player-inaplay hadi blu-rays, nataka kuyafanya maisha yawe rahisi binamu si unajua zama hizi zilivyo, kama unamjua mtu anauza usafiri mzuri wa bodaboda nistue, au nitakuja kumkopa kwa jina lako nikilipwa tu ninamlipa
Ukope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,
Mm mwenyew nilikuwa nategemea huo mpunga wa koroshow unigawawie kidogo,,nilitaka twende tanga huko bibie hapa,,tukaweka mambo sawa,,,siunajua sitaki kumchezea binti wa watu.
 
Ukope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,
Mm mwenyew nilikuwa nategemea huo mpunga wa koroshow unigawawie kidogo,,nilitaka twende tanga huko bibie hapa,,tukaweka mambo sawa,,,siunajua sitaki kumchezea binti wa watu.
nimependa hapa
 
No achepuke tu lakini awe makini

Me siwez shindana na mwanaume

...and ningendako be like...

giphy.gif
 
...umeangua kama mwanaisakojia na sosholojia kwa pamoja, kwa kweli mimi nilimpenda kwa sababu ndani nimenunua kiroba cha mchele, maharage kilo 25 na nyama ziko kwenye friji, sasa nilitaka mtu tusaidiane kula. Lakini ndo hivyo kuna watu hawana njaa
Hahahah alikuambia ana njaa??kwan kwao alikuwa anamiss hyo misosi uliyonunua
 
Ukope kwa jina langu tena??hujaacha tu mambo yako ya kuniambia niagze hlf unasema ntalipa kwa bili yangu,,,
Mm mwenyew nilikuwa nategemea huo mpunga wa koroshow unigawawie kidogo,,nilitaka twende tanga huko bibie hapa,,tukaweka mambo sawa,,,siunajua sitaki kumchezea binti wa watu.

...ha hahahah, ila kwa safari ya TA basi usihofu sana maana huko ni mambo ya Anjari na biryani tu unachukua jiko

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom