Makapuku Forum

Makapuku Forum

...bado ndugu yangu, ninadhalilika tu sasa hivi humu, nimepewa stakabadhi tu bila malipo. hii serikali iache tu Mungu yupo itapazwa maana imesema itanunua na sasa hawajanunua wanatoa stakabadhi tu.

Yaani nilianza kukopa, mfano juzi nimekopa TV used ni smartTV, ila huyu Dullah ni mtu mzuri maana naye alinunua korosho za kangomba namfichia siri
Hahahaha
Sasa binamu ww utaanza vp matumiz ili hali hata mpunga bado haujasoma vzr?kwa hyo na zile namba za sepenga ulizokuwa unakesha kuztafuta zmekuwa useless??

Kingine kipi umekopa binamu mbali na tv used haha
 
  • Thanks
Reactions: Obe
No no

Hatulali mwache atalk that talk eeh nataka kukufahan zaidi s wajua na taarifa kama hizo zitanisaidia kuexplore hili gurudum letu?
Uko sawa love

Bhasi mm nilijua umechoka na unahtaji kupumzika,,kama upo sawa haina shida acha tumsikilize binamu,binamu yangu mtu mkalimu sna
 
nitamsikiliza only if akiwa ana make sense, but wakat mwengine fitna hua mbolea kwa penzi hasa penzi changa honey

...you might be right or not! Juzi nilikuwa na penzi jipya humu, yaani nimejitahidi kufanya kila linalowezekana lakini nimepigwa fitna hadi nikapoteza penzi langu. Bahati nzuri walionifanyia fitna nawajua, ni ndugu zangu kabisa na kama unavyojua karma is a b.... (broad)
 
Pole hakua anakupenda thats why akakuacha uende, sometimes kupigania penzi lako ni ruksa kwa mtoto wa kiume nawe ukamwacha tu akaenda hamkua mnapendana nyie, usiwalaum wengine laum mioyo yenu kwanza
...you might be right or not! Juzi nilikuwa na penzi jipya humu, yaani nimejitahidi kufanya kila linalowezekana lakini nimepigwa fitna hadi nikapoteza penzi langu. Bahati nzuri walionifanyia fitna nawajua, ni ndugu zangu kabisa na kama unavyojua karma is a b.... (broad)
 
Aaah!!bhasi ngoja nisitishe utambulishe lov,,,twende tukapumzike sasa,,maana binamu namuona tayali kaanza kuleta fitina hapa.

... ha ahahahah, binamu mimi napita tu hapa, niko lindo namsubiri mwenzangu aje niende nikamle mpika chakula aliniahidi
 
Hahahaha
..duh, ha hahahaha, ngoja akija ndo utaamini, muulize Behaviourist kakosa chura sasa anatafutiwa wizara ambayo haina chura bali hips za nyoka
Hata yule aliyempeleka China,ili awe na chura nasikia pia uteuzi wake umetenguliwa na jiwe

tapatalk_1542551995361.jpeg
 
Hahahaha
Sasa binamu ww utaanza vp matumiz ili hali hata mpunga bado haujasoma vzr?kwa hyo na zile namba za sepenga ulizokuwa unakesha kuztafuta zmekuwa useless??

Kingine kipi umekopa binamu mbali na tv used haha


...binamu acha tu yaani namba za madam ndo hivyo zinajaza phonebook yangu tu ila nitalipwa tu na nitasahau kama nilisubiri sana kulipwa.

Ukiacha hii smart TV nimekopa DVD player-inaplay hadi blu-rays, nataka kuyafanya maisha yawe rahisi binamu si unajua zama hizi zilivyo, kama unamjua mtu anauza usafiri mzuri wa bodaboda nistue, au nitakuja kumkopa kwa jina lako nikilipwa tu ninamlipa
 
...you might be right or not! Juzi nilikuwa na penzi jipya humu, yaani nimejitahidi kufanya kila linalowezekana lakini nimepigwa fitna hadi nikapoteza penzi langu. Bahati nzuri walionifanyia fitna nawajua, ni ndugu zangu kabisa na kama unavyojua karma is a b.... (broad)
Hahahahaha anko wako yule binamu
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Pole hakua anakupenda thats why akakuacha uende, sometimes kupigania penzi lako ni ruksa kwa mtoto wa kiume nawe ukamwacha tu akaenda hamkua mnapendana nyie, usiwalaum wengine laum mioyo yenu kwanza
Safi sana bibie,,labda ushauri wako ataufanyia kazi,,,mm nilimshauri sana,,,akadai ww kijana huwez nishauri mm hvyo
 
Pole hakua anakupenda thats why akakuacha uende, sometimes kupigania penzi lako ni ruksa kwa mtoto wa kiume nawe ukamwacha tu akaenda hamkua mnapendana nyie, usiwalaum wengine laum mioyo yenu kwanza

...umeangua kama mwanaisakojia na sosholojia kwa pamoja, kwa kweli mimi nilimpenda kwa sababu ndani nimenunua kiroba cha mchele, maharage kilo 25 na nyama ziko kwenye friji, sasa nilitaka mtu tusaidiane kula. Lakini ndo hivyo kuna watu hawana njaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom