Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wavuvi 16 raia wa Tanzania wameachiwa huru na mahakama moja nchini Kenya .Mahakama ya Migori imewashauri waombe vibali kwa mujibu wa mtandao wa Citizen ilikuepuka kukamatwa tena.

Majuma mawili yaliyopita wavuvi 36 kutoka Kenya walikamatwa na maafisa wa usalama wa Tanzania. Wavuvi hao bado wako kizuizini Tanzania. View attachment 943592View attachment 943593
Hivi Watz tumekuja kuwa roho mbaya kiasi hicho iko wapi ile Tz tuliyokuwa tunaambiwa kimbilio LA kila Binadamu kwanini wasiachiwe kama walivyoachiwa wenzetu kule Migori
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom