Makapuku Forum

Kwahiyo unanitishia kwa taarifa yako anko wako yupo kiganjani hafurukuti,kondaa??hahahahahahah mfyuuuu
Ayo ndo maneno ngojaa aje marybaby make ndo anamuweka binamu mjini make wakiuza korosho atamrudishiaa sasa kama unakula pesa ya mwanamke mwenzio ndo tujuee ....

Daladala la binamu lishajazwa kitambo na wakina mama ashura ...wauza vtumbua nyie inabidii muwe makondakta marybaby alikubalii
 
mama hakua hta na muda wa kukandwa maji,, sembuse anyonyeshwe
Ujana umetuganda
 
Ebu acha wivu jamani
 
Reactions: Lee
Duh aiseeee

Ila bado namtetea mtoto. Mama mtu lishe yake haijakamilika haina virutubisho. Wamama wa zamani walikua wanakula hasa,supu supu,ndizi za maana,uji ndo usiseme maziwa yakitoka hapo full afya na vitamin za kutosha
Numbii sio uvivu tena watoto wa kiume wana njaa mnooo nina jirani yangu hapa ana mtoto wa kiume akimnyonyesha maziwa mtoto hashibi ameanza kunywesha uji na huyo dada ni mama tu wa nyumbani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…