Wachache sn waliobaki wakifata hili swala la mtt aanze kula akiwa ametimia miezi 6,
Sijui ni mbio za maisha au ni uvivu wa kunyonyesha. ? Au ndio mambo ya ukinyonyesha urembo bc.?
Asante Numbisa
Hatukusamehi ng'oo hadi kwanza utuelekeze kisusio na mbege vinapatikana wapi!
Kuna sababu nyingi lakini kubwa kuliko ni uvivu na kuogopa kuchuja urembo eti maziwa yatalala vibaya.
Wapo wanaosema kazi nyingi ila mama mwenye kujitambua hata kama ana ajira busy huwa anakumbuka kutenga muda wa mwanae kunyonya.
Wapo wanaoachisha watoto kunyonya ili tu bata zisimpite,ofa za bure etc
Heh!! Ni ww jirani
Ohhpss kukulana kulivyo kutamuAisee imewasaidia nyie mana kwa utam muupatao mngetubaka sana na kesi zisingekwepo shukuruni tu
Anataka kukupa chura uonjeShangazi naona umekuwa mkali kweli kweli,ngoja nimtetee rafiki yangu!Rafiki yangu anataka nionje kwa macho tu na si vinginevyo!!
Usimfundishe toto angu tabia mbayaJoto ya jiwe Shangazi
HahaahhahahaHalafu kumbe shangazi ni mkali sana!Leo ndiyo nimegundua!
Watoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tuKupata mtoto ni safari mpya wazazi huanza kuipitia, ni kipindi ambacho hubadilisha maisha na mipango ya wazazi.
Chakula sahihi cha kumpatia mtoto anayeanza kula ni moja ya mambo muhimu ambayo huwasumbua wazazi wengi.
Kwa kawaida mtoto kuanzia umri wa miezi sita huanza kupewa uji maalumu kama kianzio cha kuanza kujifunza kula.
Mmmh!!wa kwangu walichelewa kidogoWatoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tu
Hahahhahahha eti wala matako ya mbebez nimecheka mmHahahaha, yameisha shangazi ,ila sina mbebezi wala matako ya mbebezi ,[ na kama yupo ajitokeze]
ilikua ni changamsha genge tu ,naona km imekua tofauti
Samahani kwa wote kwa usumbufu hapa makapuku
Tuendelee Kufurahia Uzi wetu kwa Aman
Baba wawili umemuona ndg yakoHeh!! Ni ww jirani
Hahahaha, nimefurahi umecheka ni kweli sina ,humu Niko huru 150%Hahahhahahha eti wala matako ya mbebez nimecheka mm
Watoto wa sasa hivi walivyokuwa na njaa wanaanza kulishwa miezi miwili tu
Hahahaa jirani ni Mimi jamaniHeh!! Ni ww jirani
Hahaha natamani nikuchokoze ebu ninyamaze tuHahahaha, nimefurahi umecheka ni kweli sina ,humu Niko huru 150%
Muhimu sitaki kuudhi watu tu,,tuishi kwa aman
Nmemuona aisee,,aliyemteka sijui nani huyoBaba wawili umemuona ndg yako