Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Sijakuelewa mkuu! Sasa mimi nimeletewa mazawadi ya makopa ina maana nisipokee??!![]()
...pokea na unaruhusiwa kuyarudisha kwa aliyekuletea
Sijakuelewa mkuu! Sasa mimi nimeletewa mazawadi ya makopa ina maana nisipokee??!![]()
Mimi ni rafiki zenu tu anko wala sina ubaya wala nia mbaya na mtu mkuu!...naona safari ya China imekuletea matunda mengi, ushindwe wewe tu sana, ukipata majipu sababu ya mabusu usijekulalamika kutafuta tiba mbadala



Sijakuelewa mkuu! Sasa mimi nimeletewa mazawadi ya makopa ina maana nisipokee??!![]()
Maraaa paaaapuuuu aunt wako anakujaa na je wajua mda huu
ha!haaa!!Maraaa paaaapuuuu aunt wako anakujaa na je wajua mda huu


...... Siku hizi shangazi yangu anataka kuwa kama anko Obe mzee wa mida ya wanga!!!Kumbe una ukaribu na anko Lyon Lee na anavyosemaga kuwa wewe ni mzee wa totoz mbahili ni kweli eeehhh!!
Maraaa paaaapuuuu aunt wako anakujaa na je wajua mda huu
Wapiii na saa ngapiii na liniiii na kwa nini
Binamu mtotto wa dada ujue sio anko wa skuliii basii
Ndo aunt yako ujue...akili za aunt yangu zinajijua zenyewe, zikiachiwa utashangaa analeta magazeti muda huu, sijui anatumia mkorogo au anaogea zile sabuni magadi za kigoma?
..akikujibu tu basi nitagi halafu nikutumie namba ya yule mganga tishio toka mbagala majimatitu mwenye lafudhi ya kinaijeria wakati wote tunajua ni mpogoro toka matombo
Ni bahili sana kwa totoz eeehh?Huyu binamu wangu kabisaa