Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Wanaenda kuwekewa chura wakichinaHahahaha, asee umeniacha solemba hapa
Wanaenda kuwekewa chura wakichinaHahahaha, asee umeniacha solemba hapa
Hapana jamani mm nimeridhika na chura wangu wa kunitosha mwenyewe tu nani anataka uwekewe chura bandia yashuke mapajani kama ya wema sepetuHahahaha, duh hy Kali ,nawe upo ktk msafara huo
Baba wawili huyo jamani tunaongelea chura churaniiiii mary anapelekwa china na mzee wa chura kuwekewa chura wa kichinaMNAONGELEA NINI?
Hahahaha, ndio maana nakupenda, nazidisha maombi, Mungu anifanyie wepesi ,juu ya....Hapana jamani mm nimeridhika na chura wangu wa kunitosha mwenyewe tu nani anataka uwekewe chura bandia yashuke mapajani kama ya wema sepetu
Unazidisha maombi ya nn we mzee Mungu akufanyie wepesi wa niniHahahaha, ndio maana nakupenda, nazidisha maombi, Mungu anifanyie wepesi ,juu ya....
Unazidisha maombi ya nn we mzee Mungu akufanyie wepesi wa nini
..na dawa yake ni nini baada ya kuumwa.?
EeenhHahahaha, niwe Karibu na murembo km wewe
Binamu hujui tu ulivyonikuna na hii nyimbo naomba uniwekee audio yake au video yake og sio ya live kama hiiKwa wale mnaotaka kwenda China Behaviourist na marybaby hakikisheni mnapata paspot size kabisa, ushauri wa aunt yangu Shunie kuhusu chura muuzingatie isije ikatokea kama yule kimada wa anko wangu Lyon Lee jina lake limenitoka kidogo maana alikuwa mweusi sana, kaenda Vietnam kufuata chura karudi bila chura anapendaga kifo cha mende tu siku hizi.
sasa burudikeni na hili songi
Tumosa nakusalimia
Binamu obe wameshindwana ubahili ameona bora akubali offer ya mzee wa chura kupelekwa china kuwekewa chura
Binamu obe wameshindwana ubahili ameona bora akubali offer ya mzee wa chura kupelekwa china kuwekewa chura



binamu yangu ameshindwa kizembe kweli,,angesema kwenye ukoo wetu wa mapacha,tukamchangia aiseeEeenh
Kuwa karibu tena ili ugundue nn
binamu yangu ameshindwa kizembe kweli,,angesema kwenye ukoo wetu wa mapacha,tukamchangia aisee
Binamu hujui tu ulivyonikuna na hii nyimbo naomba uniwekee audio yake au video yake og sio ya live kama hii
Hahahaha ni kweli kabsa,,mashart lazima tuweke,hatuwez weka dau hlf tusione matunda yoyote...ha hahahahhaa, kunichangia mnaweza kuweka masharti, mkataka ndani ya mwezi tu muone mimba wakati hata mwezizi hajaenda