Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181113-090946.jpeg
 
Mpaka Simba unamuona amekua mkubwa kuna majaribu mengi anakuwa amepitia. Kwanza, Simba Huzaa maeneo hatarishi ambapo kunakuwa na Wanyama wengine pia wakali, na Adui yake mkubwa ni Fisi.
-
Hivyo watoto wengi huliwa na Fisi. Pili, Changoto ipo pia Kwa Simba Dume ambayo nayo huharibu Vizazi kwa kumlazimisha Jike kutoa Mimba hasa pale ambapo Mtawala mpya anapokua ametwaa miliki mpya, lakini pia Tabia ya Kuuwa Madume nayo ni changamoto katika Kuleta uzalishaji.
-
Simba Jike anaweza kuamua kuwalinda watoto wake kwa nguvu zote Lakini ishu Huja, Kama ataamua kukaa na watoto wake, atanyonywa Sana. Atahitaji kuwinda, Akijifanya mgumu watoto watakosa maziwa....Akienda kuwinda ndio Hapo Fisi huwapitia.
-
Ukijiita Simba inabidi uwe mpambanaji Haswa.
-
N.B: Katika Picha Mtoto amebebwa na Sio Analiwa.
Screenshot_20181113-090927.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom