Mamia ya wanawake nchini Iran wameruhusiwa kuhudhuria mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa barani Asia mjini Tehran.
Hatua hii inaonekana kama uwezekano wa kufikisha mwisho zaidi ya miaka 35 ya kutengwa wanawake kutoka mechi muhimu za kandanda.
Walitazama timu ya nyumbani Persepolis ikishindwa na timu ya Japan Kashima Antlers.
View attachment 930642