Makapuku Forum

Hii maana ya mwanamke kuwekwa nyuma km mkia siielewagi kbs kwa mataifa hayo
 
@Shunie huyu tajiri wa kumwaga noti ndo kati ya wale watakaobebewa bidhaa yao na magari ya naniliu. ?


.....yeah, ndo mimi, subiri ifike saa kumi jioni anko magu afanye kutujaza mahela, tutakuwa kama John Cheyo mzee wa mapesa yaani njoronjoro, makuta, fweza.

Andaa bajeti, nina fungu lako, ukiona gari la jeshi lisimamishe waambie unakuja Mtwara watakubeba frii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…