Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,097
Na aone Lyon
Unataka kunipa nini mamalai?
Unataka kunipa nini mamalai?
Nikufuate chemba ama?Na aone Lyon
Nikufuate chemba ama?
Hapana...Kufanyaje.....wewe mwaga chips kwenye watoto
Joto kali naruhusu upepo,Gauni linapulizwa na upepo , toa mikono kichwani wewe..
Marahaba..Joto kali naruhusu upepo,
Shkamoo.
Marahaba..
Ila ujue watoto wameona faragha ya mama yao

watapofuka,!Hell...Nowatapofuka,!
Ni jinsia gani jamani mama mtotoMpeni tu![]()
Nimekumiss wajina wangu..
Waungwana hamjambo jmn,?
Pakuanzia ss ndo mtihani
Hell...No
Watoto wa sasa hivi wamelaaniwa..
Wanaangalia mbuye kabisa...wala hawaogopi
watt wa kulala nao chumba kimoja baba na mama mkiamsha popo nao macho kodo
Wallah,,nimekumiss pia nimeshindwa hata kutekeka imebidi nichomoke kidogoNimekumiss wajina wangu


Salama kbs kwema. ?Za week end Makapuku
Mkuu
Jana ulizima nini?
Mtoto akiwa na mwaka na nusu usilale nae tena.m![]()
watt wa kulala nao chumba kimoja baba na mama mkiamsha popo nao macho kodo
![]()
Kwema kabisa RafikiSalama kbs kwema. ?
Mimi ndio napata supu haka kentuki...Bana weee ,ndio naamka SAA 12 hii