Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hiyo shangazi na auntie hivi hawa watu walionipa hili jina walifikilia nn

Hiyo shangazi na auntie hivi hawa watu walionipa hili jina walifikilia nn

Kwakweli na msketi mrefu wa kitengeee mana ndio mavazi ya shangazi kaja hayo

Nilikuwa naumwa kwani?Umeshapona?
Kuna uzi nilipita juzi nikaona unasema unaumwa..Nilikuwa naumwa kwani?
Leo umenipatia napenda bites mmKaribu sijui ndio dinner View attachment 927810
Khaaa hao wawili wenu wa kudownload mbona sijawazungumzia jamaniHuwapendi akina wawili wetu![]()
![]()
![]()
Sawa jamani poleUngejua vile sipendagi kuteseka kijinga kijinga...
Mimi nateseka kiakili akili tuu shemela
Asante mama D..Sawa jamani pole
Kuna uzi nilipita juzi nikaona unasema unaumwa..
Nilikuwa naumwa kwani?
KheeeeeUmeshapona?
Sawa shembebeAsante mama D..
Asante Shemeji yangu...
Asante Rafiki yangu.
Kuna tatizo mama D..?Kheeeee
Shembebe ndio nini?Sawa shembebe

?Karibu tujumuikeLeo umenipatia napenda bites mm
Jamani nimeolewa mkuu ulikuwa unasemaje