marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Nimemsoma mama ntaachaSidiria ebu acha umemsoma numbisa lakini ujue usiku mwili unatakiwa upumzike hewa ziingie
Nimemsoma mama ntaachaSidiria ebu acha umemsoma numbisa lakini ujue usiku mwili unatakiwa upumzike hewa ziingie
Mm ndio mpiga filimbi eti![]()
![]()
kwa maana hiyo???
❤❤Sidiria ebu acha umemsoma numbisa lakini ujue usiku mwili unatakiwa upumzike hewa ziingie
Uache bwana sidiria unashinda nayo kutwa nzima na usiku pia sio vizuriNimemsoma mama ntaacha
hivi Dada nikuulizepo kidogopo hivi umeolewa?Kheeee
Chini ya nini Shunie,?
Hahahaha ,asee nami nasubiri jibuhivi Dada nikuulizepo kidogopo hivi umeolewa?
Ati anavunga kunikaushiaHahahaha ,asee nami nasubiri jibu
Nahitaji kujua zaidiMm ndio mpiga filimbi eti

Kuchoka ndo sababu,Uache bwana sidiria unashinda nayo kutwa nzima na usiku pia sio vizuri
Ati anavunga kunikaushia
Mwangaluka,Bonjour makapuku
Mwangaluka,
Niko shem kuna sehemu shunie kanifichaUlikuwa wapi?
mie zaidi,memiss yale maneno yakoGlady to see u ...![]()
NamahoroHahahaha, haya namaki
ukabila haufai,Amakuru, hahahaha ,mambo ,asubuhi njema kabisaNamahoro![]()
ukabila haufai,
Habari ya asubuhi??