dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Hahaha! Kasi ipi hiyo mbona kama sielewi hivi...duh, hata wewe nilijua kwa vile wewe ni rafiki wa aunt yangu Shunie basi utakuwa ni ni ndugu yangu pia. Huyu marybaby anko wangu Lyon Lee alinizuia kabisa asinipe namba lakini nazijua fitna za anko wangu na sasa naona dingimtoto anakuja kwa kasi
Kheeee tunapozajewakuu mbona mna poza uzi
makapuku njooni huku
HahhahahUlinikimbiaa kwa furaha ya chinaa
Nije mtwara binamu kufanyaje halafu magazeti umeyaona kwanza
Aww
Nimetamani samaki tu huyo
Napenda lakini hapo nimependa samaki peke yakeHupendi ndizi?
Jamani binamu....asante aunt yangu mwenyewe, nimeyaona na nilikushukuru, au hujaona shukrani zangu maana na wewe siku za wikend huwa una kiburi sana
Mary kuna vimaneno vya binamu kamuiga
Jamani binamu
Linii nimekuwa na kiburi mm
Nampa taarifa binamu ye aendelee tu kuja usiku wa manane
Ankooo salaaam sana zikufikiee ulipo...huyu mary kwa kweli ninamfurahia, sasa kwa kuwa wewe ni ndugu yangu na unanijua kabisa binamu yako domo zege basi unajua cha kufanya (zawadi yako ya korosho ni ya uhakika, mimi sio kama mjomba wangu Lyon Lee alikuletea jezi iliyombana demu wake mpya)
Anko binamu mwenye fitinaaa zakeee...sorry simu sikuwa nimeshika mimi,niko kwa anko wangu naangalia mpira
...duh, hata wewe nilijua kwa vile wewe ni rafiki wa aunt yangu Shunie basi utakuwa ni ni ndugu yangu pia. Huyu marybaby anko wangu Lyon Lee alinizuia kabisa asinipe namba lakini nazijua fitna za anko wangu na sasa naona dingimtoto anakuja kwa kasi
Hahhaha ungejua mambo ya jezi yameisha ukiwa domo zege toa mahela tu na ulivyo mbahili sasa acha dingi akupokonye tu...huyu mary kwa kweli ninamfurahia, sasa kwa kuwa wewe ni ndugu yangu na unanijua kabisa binamu yako domo zege basi unajua cha kufanya (zawadi yako ya korosho ni ya uhakika, mimi sio kama mjomba wangu Lyon Lee alikuletea jezi iliyombana demu wake mpya)
We subiria majibu ya mary keshoila unayajua maono yapi
Hahaha inaweza kuwa kweli kayaonaHahhaha eti kuna maono kayaona kwa mary
Hahaha kama vimaneno gani shunieMary kuna vimaneno vya binamu kamuiga
Hahhaha ungejua mambo ya jezi yameisha ukiwa domo zege toa mahela tu na ulivyo mbahili sasa acha dingi akupokonye tu
Analikosaaaaaaaa kojoo^ooooooHahhaha ungejua mambo ya jezi yameisha ukiwa domo zege toa mahela tu na ulivyo mbahili sasa acha dingi akupokonye tu