Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bilionea huyo wa Kijapani mwenye utajiri unaofikia dola bilioni 2.9 (Forbes) amesema katika safari yake hiyo itakayosimamiwa na Space X ataongozana na watu sita ikiwamo mpiga picha, muongozaji filamu, mwanamuziki, mwanamitindo, na mhandisi wa majengo.
Screenshot_20181026-093422.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Bilionea huyo wa miaka 42 kutoka nchini Japani, ambaye ni mmiliki wa mtandao maarufu wa nguo Zozotown, atakuwa mteja wa kwanza wa kampuni ya safari za nje Space X inayomilikiwa na Bilionea Elon Musk
Screenshot_20181026-093540.jpeg
 
Joto hilo kubwa zaidi lilitengenezwa kwenye maabara za CERN wakati wanasayansi walipokuwa wakitaka kufahamu aina mpya ya matter inayoitwa QCP pia kufahamu muingiliano wa Protons, Neutrons na Nucleons.
Screenshot_20181026-093639.jpeg
 
Kama Donald Trump akikubali basi hiyo ndege yake mpya itaitwa 'iPlane' ila kitu asichofahamu msanii Kanye West kampuni ya Apple hawatengenezi ndege.

Screenshot_20181026-093905.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom