Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,696
- 51,426
Nitapata Makao kwakoKaribu sanaaa
Nitapata Makao kwakoKaribu sanaaa
We nipende tu mkuuHicho ni kilingala kikiwa na maana I swore to Love you ama naapa kukupenda kwa lunga ya kisukuma

Kwangu?Nitapata Makao kwako
Ndio maana nakaa tu muda mfupiKwangu?
Njoo,ila uje na hayo manotiNdio maana nakaa tu muda mfupi

Ndotenda ndotenda wagona (i thank you, you've done well )We nipende tu mkuu![]()
![]()
![]()
Lazima niyalete tutumieNjoo,ila uje na hayo manoti![]()
![]()
![]()
We niue tu.. utajua cha kumwambia shangazi! Lakini nife shida yote hiyo nini wakati wewe ni binamu... si nahamia tu kwa shangazi! Halafu uzuri wa binamu huwa haongwi!Hahhahaha sasa kaka chige mbona hapo sijaongea kwa mapozi hivi nikiongea kwa madeko yangu si utakufa jamani
Uncle wako nani?! Huyu Malcom Lumumba, au mwingine?! We mama yako, mimi shangazi yangu na ndio maana nakuita binamu... kama uncle wako, ina maana kakake na shangazi... mi mbona simjui?! Kuzaliwa nani, akaja nani hadi akawa kakake na shangazi? Kwa babu na bibi yupi? Je, uncle yaani baba yako anamfahamu huyu jamaa?! Ndo mshaanza hivyo,Hahahaha kaka chige huyo anko wangu hawezi nifanya chochote