Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kulikuwa kheri kabsa binamu,,,naona bado tunaendelea na rekodi yetu ya ushindi kwenye ligi kuu,,,Yanga

...Yanga timu mbovu sana, umeuona mpira unaopigwa pale Msimbazi? Mtu juzi kapigwa tano kwa taaabu sana, Yanga wakataka kucheka ila nao wakakumbuka walichezea mkono miaka ila, wakaa chini ila hawakufa

DF44n0dXcAA_OZl.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo hiyo buku jero ajishindie ABJ tu binamu mm naitaka na mm


...wewe ukishinda utaila bure, mimi nataka ABJ aishinde ili nimpongeze na ailipe kwa namna nyingine. Ushakuwa mtu mzima sasa hivi jiongeze, jitoe kwenye hili shindano wewe ni ndugu yangu
 
...Yanga timu mbovu sana, umeuona mpira unaopigwa pale Msimbazi? Mtu juzi kapigwa tano kwa taaabu sana, Yanga wakataka kucheka ila nao wakakumbuka walichezea mkono miaka ila, wakaa chini ila hawakufa

DF44n0dXcAA_OZl.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji524]TUOMBE:Baba Mtakatifu Mungu wetu mkuu usiyeshindwa na lolote asante kwa asubuhi ya leo Ijumaa tarehe 26 Oktoba 2018 Asante kutuamsha salama wapo wengi walitamani kuiona leo hawajaweza Mfalme wa Amani tunajikabidhi mikononi mwako Baba siku ya leo miili yetu na Roho zetu Baba tusaidie tukufuate wewe tu.Tunaomba toba Baba kwa yote tuliyoenda kinyume na mapenzi yako Uturehemu .Tunawaombea wagonjwa wote majumbani na mahospitalini Baba wape uponyaji miili na Roho..Tunakabidhi Ratiba zetu zote za leo Anza nasi maliza nasi Mungu wetu.Tunawaombea wafiwa,yatima,wajane ,wagane wape faraja na tumaini wakuangalie wewe tu.Futa machozi ya sirini Mungu wetu tuimarishe imani zetu tukuone wewe tu kwa kila tunalopitia.Tunaomba Roho Mtakatifu Tufundishe Tuongoze Tusaidie Tuimarishe katika maisha yetu na kila hatua uwe nasi.Wabariki wasafiri majini ,nchi kavu na angani tuende na kurudi salama .Siku ya leo Amani,Upendo, Mshikamano ukatawale katika kila familia .Na kila mtu avae silaha za Imani kikamilifu Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen

IJUMAA NJEMA NA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTU ITUFUNIKE[emoji257][emoji257]
 
...wewe ukishinda utaila bure, mimi nataka ABJ aishinde ili nimpongeze na ailipe kwa namna nyingine. Ushakuwa mtu mzima sasa hivi jiongeze, jitoe kwenye hili shindano wewe ni ndugu yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ABJ ulimpa nn binamu lakini
 
Back
Top Bottom