The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
SwadaktaAsante mdau kwa tetesi za soka. Wewe na wadau wa Makapuku ndiyo sababu Jukwaa hili ni bora sana.
Asubuhi njema
SwadaktaAsante mdau kwa tetesi za soka. Wewe na wadau wa Makapuku ndiyo sababu Jukwaa hili ni bora sana.
Asubuhi njema
Ewaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binamu Behaviourist huyu ABJ ni mdogo wngu kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] naomba umtambue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiwooo
Kila akiingia akitoka abj kaondoka bila kuniachia no ya simu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shika mwenyeweeeee shubaaaaaamitiiiiiiiiiiiii
Shikamoo binamuAsante mdau kwa tetesi za soka. Wewe na wadau wa Makapuku ndiyo sababu Jukwaa hili ni bora sana.
Asubuhi njema
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Ewaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
6.Unamjibu mtu maswali yote, kumbe hakuulizi wewe anaongea na simu!
7.Unampungia mtu mkono mbele za watu, alafu yeye hajibu chochote.... kumbe umemfananisha
8. Unahangaika Kusukuma mlango ili ufunguke kwa sekunde kadhaa baadae unagundua kumbe mlango umeandikwa "pull" yaani Vuta!
9.Unasimulia Kitu katikati ya watu, mara mate yanaruka na kumuangukia mtu wa jirani, na kila mtu ameona....
10. Unasikiliza muziki masikion (earphones), unagundua watu wote wanakuangalia wewe...... kumbe unaimba kwa sauti ya juu... mbaya zaidi unaukosea wimbo
Shikamoo binamu
Husna mchepuko wangu kwa anko binamu alidangia wapiii
...kwenye hii ya mlango, mimi ni muhusika kabisa ha hahahhaha, nikikukmbuka najicheka sana sema niliyekuwa naongozana naye alinisaidia kwa kusema jaribu kupull