Makapuku Forum

Makapuku Forum

MATOKEO YA KUKOSA USINGIZI
MATOKEO YA MUDA MFUPI
▪ Kusinzia
▪ Hisia zinazobadilika- badilika
▪ Kusahau mambo kwa muda mfupi
▪ Kushindwa kupanga mambo na kuyatimiza
▪ Kutokuwa makini
 
MATOKEO YA MUDA MREFU
▪ Kunenepa kupita kiasi
▪ Kuzeeka mapema
▪ Uchovu
▪ Hatari kubwa ya kupatwa na maambukizo, ugonjwa wa sukari, magonjwa ya moyo, na matatizo ya tumbo
▪ Kusahau mambo sana
 
KULALA KIDOGO MCHANA
Je, umewahi kulemewa na usingizi baada ya chakula cha mchana? Hiyo haimaanishi kwamba hukulala vyakutosha. Ni kawaida kusinzia wakati wa mchana kwa sababu joto la mwili hupungua wakati huo.

Kwa kuongezea, hivi majuzi wanasayansi wamegundua kwamba kuna protini inayoitwa hypocretin, au orexin,inayotengenezwa na ubongo ambayo hutusaidia kuwa macho. Kuna uhusiano gani kati ya hypocretin na chakula?
 
Tunapokula, mwili hutengeneza homoni inayoitwa leptin ambayo hutufanya tuhisi tumeshiba. Lakini homoni hiyo huzuia utengenezaji wa hypocretin.

Yaani, kadirileptin inavyokuwa nyingi kwenye ubongo, ndivyo hypocretin inavyopungua na tunahisi usingizi zaidi. Labda hiyo ndiyo sababu katika nchi fulani watu hulala kidogo baada ya kula chakula cha mchana.
 
KULALA KIDOGO MCHANA
Je, umewahi kulemewa na usingizi baada ya chakula cha mchana? Hiyo haimaanishi kwamba hukulala vyakutosha. Ni kawaida kusinzia wakati wa mchana kwa sababu joto la mwili hupungua wakati huo.

Kwa kuongezea, hivi majuzi wanasayansi wamegundua kwamba kuna protini inayoitwa hypocretin, au orexin,inayotengenezwa na ubongo ambayo hutusaidia kuwa macho. Kuna uhusiano gani kati ya hypocretin na chakula?
Duuuh nakupataa
 
Tunapokula, mwili hutengeneza homoni inayoitwa leptin ambayo hutufanya tuhisi tumeshiba. Lakini homoni hiyo huzuia utengenezaji wa hypocretin.

Yaani, kadirileptin inavyokuwa nyingi kwenye ubongo, ndivyo hypocretin inavyopungua na tunahisi usingizi zaidi. Labda hiyo ndiyo sababu katika nchi fulani watu hulala kidogo baada ya kula chakula cha mchana.
 
Shkamooni wana kapuku jamani...niliwamis mno
Anko binamu namba yangu hiyo 0764202013@Obe

...oh, anko bhinamu asante sana kwa namba hii. Sasa roho na moyo wangu vimetulia. BTW, nimefurahi kukuona tena hapa, tulikumiss sana, hasa mimi, wengine kama walikumiss watasema nisiwasemee ila anko wangu Lyon Lee kabatika kufungishwa ndoa ya mkeka na binti wa maalimu wakati wewe haupo, nisimsemee atasema mwenyewe kama akipenda. Ndoa ilifungwa kule ujiji, ilikuwa ghafla
 
  • Thanks
Reactions: Lee
aliyekuambia upige nani akati hiyo namba ni spesho kwa anko

...kweli ni spesho, wewe sio wa kunipa namba ya dawati la jinsia kwamba nimetelekeza mtoto au nimefanya domestic violence. Kweli wewe ni wa kunifanyia hivi, tena jumapili
 
KULALA KIDOGO MCHANA
Je, umewahi kulemewa na usingizi baada ya chakula cha mchana? Hiyo haimaanishi kwamba hukulala vyakutosha. Ni kawaida kusinzia wakati wa mchana kwa sababu joto la mwili hupungua wakati huo.

Kwa kuongezea, hivi majuzi wanasayansi wamegundua kwamba kuna protini inayoitwa hypocretin, au orexin,inayotengenezwa na ubongo ambayo hutusaidia kuwa macho. Kuna uhusiano gani kati ya hypocretin na chakula?

...baadhi ya nchi hasa zinazoongea Kihispaniola, wakazi wengi walikuwa na kawaida hii ya kuhakikisha wanapata muda wa kulala mchana baada ya kula, wanaiita siesta. Haipo kivile sana kwa sasa.
Asante kwa makala nzuri
 
Tunapokula, mwili hutengeneza homoni inayoitwa leptin ambayo hutufanya tuhisi tumeshiba. Lakini homoni hiyo huzuia utengenezaji wa hypocretin.

Yaani, kadirileptin inavyokuwa nyingi kwenye ubongo, ndivyo hypocretin inavyopungua na tunahisi usingizi zaidi. Labda hiyo ndiyo sababu katika nchi fulani watu hulala kidogo baada ya kula chakula cha mchana.

Wahispaniola enzi hizo, lunch break yao ilikuwa ni masaa mawili, wanafana kazi kuanzia saa tatu asubuhi hadi nane mchana kisha masaa mawili ya lunch na siesta baadaye saa kumi wanaudi kazini hadi saa mbili usiku.
 
Duuuh nakupataa

,...wewe tena, lazima hili somo ulielewa kikamilifu maana nakumbuka aunt yangu alikuja kumwambia wifi yake wakati amejifungua kuwa ulikuwa unarudi mchana kunyonya maziwa eti kuondoa uchovu. kama familia isingekukalisha chini hakyamungu ungembemenda mtoto wako, sio kwa sababu hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom