Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Je wajua kuwa saratani ya matiti huwaathiri wanaume pia? ”Niliona uvimbe mdogo kwenye titi langu la kulia, lakini ulikuwa mdogo na haukuwa na uchungu sikudhani kuwa ulikuwa na madhara yoyote kwa afya yangu.
Lakini baada ya muda, uvimbe huo ukawa mkubwa, hali iliyonilazimu kutafuta ushauri was daktari.
Hapo ndipo nikaelezwa ninasaratani ya Matiti.
Nilishtuka sana.” Moses Musonga, 67, ni mmoja wa wanaume wanaougua saratani ya matiti
Lakini baada ya muda, uvimbe huo ukawa mkubwa, hali iliyonilazimu kutafuta ushauri was daktari.
Hapo ndipo nikaelezwa ninasaratani ya Matiti.
Nilishtuka sana.” Moses Musonga, 67, ni mmoja wa wanaume wanaougua saratani ya matiti