Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Yeah wao wana sheria tofauti na zetu.Ishu hapo siyo wakili bali aina ya sheria /hukumu
Kwa Bongo kosa la mauaji ni kifungo cha maisha(life imprisonment) na kuua bila kukusudia adhabu inaweza kuwa miaka miwili na kuendelea
Nchi zinatofautiana sheria hivyo Tz ukipatikana na hatia ya mauaji(murdsr) hata utetewe na Kibatala adhabu ni hiyohiyo
Ndio maana yake mfano huku Bongo ukibaka adhabu yake ni miaka 30 jela lakini huko nchi zingine ni tofautiYeah wao wana sheria tofauti na zetu.
Yeah tena 30 by default haipungui.Ndio maana yake mfano huku Bongo ukibaka adhabu yake ni miaka 30 jela lakini huko nchi zingine ni tofauti
Huyo sio Makaveli maana jamaa anazubaa sanaShunie, nna ndugu yangu alitumia ila yeye alifanya Heroine, yani tangu akiwa Shuleni Uganda....yeye alimix bangi na Heroine....alikuja kuwa chizii balaa, vikao vikakaa wakampeleka Tanga kuna institution flan hv ipo Lushoto huko Lutindi miliman huko yani bila hivyo tungempoteza maana hatua aliyofikia ni ile akikosa arosto yake sasa hadi anatetemeka mwili mzima, aliacha kutumia ila mpaka leo ana hali flan hv ya kuzubaa bado hajatengemaa vizuri.
Utamu wa ngoma ingia uchezeHaya mambo uyasikie tu kama hauna ndugu anayetumia
Nina mjomba yangu ni teja acha tu tumpeleke sobar hataki tumpeleke akanywe hata dawa zao za methadone hataki anasema tusimlazimishe
Tumuache eti akiamua mwenyewe atafanya lini sasa gari linazidi kuwaka tu haya mambo narudia uyasikie tu kama hauna ndugu yako wa karibu anayetumia
Makaveli anazubaa humu tu, ila kwenye anga zake mkute weeeeeeHuyo sio Makaveli maana jamaa anazubaa sana
Tunakinukishaaaaaaaaaaa ni fireeeeeeeeMoto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiihauzimiiiiiiiiiiiiiimakapuku haizimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimoto na uwakeuwake motoView attachment 889196
Misi yuu sanaNdo mimi hapa Kitabu upo best? Missing you sanaa
Mungu ni mwema jamani hongera sana kwa kupata bima ya afya na amfanyie wepesi apone
Utamu wa ngoma ingia ucheze
Raha aipatayo teja kwa kubwia unga ni X 1000 ya kufanya mapenzi na kufika kileleni
Sasa unadhani ni vita rahisi ?
Huyu Ndombele ni mmakonde au kabila gan?Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 07.10.2018: Zidane, Mourinho, Pogba, Ndombele, Henry, Dembele, Ibrahimovic