Makapuku Forum

Yeah wao wana sheria tofauti na zetu.
 
Huyo sio Makaveli maana jamaa anazubaa sana
 
Utamu wa ngoma ingia ucheze
Raha aipatayo teja kwa kubwia unga ni X 1000 ya kufanya mapenzi na kufika kileleni
Sasa unadhani ni vita rahisi ?
 
Machester United watahitajika kumlipa Mourinho pauni milioni 29 ikiwa watamfuta kazi meneja huyo,lakini kiwango hicho kitashuka hadi paunia milioni 10 ikiwa atamaliza msimu na United washindwe kumaliza katika nafasi za Ligi ya Mabingwa. (Mirror)
 
Machester United watahitajika kumlipa Mourinho pauni milioni 29 ikiwa watamfuta kazi meneja huyo,lakini kiwango hicho kitashuka hadi paunia milioni 10 ikiwa atamaliza msimu na United washindwe kumaliza katika nafasi za Ligi ya Mabingwa. (Mirror)
 
Mourinho alifichua kuwa alipokea ujumbe wa imani naye kutoka bodi ya Manchester United kabla ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle. (Times - subscription required)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…