Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Usinitennganishee na anko plzTwende kwa mganga wenu tukamtie upofu asiwaone
Usinitennganishee na anko plzTwende kwa mganga wenu tukamtie upofu asiwaone
AmenTUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya jumapili ya leo tarehe 30 Septemba 2018Tunashukuru umetuamsha salama ..Asante kwa ajili ya wote wanaotuzunguka wamekuwa baraka kwetu na Asante kwa ajili ya maisha yetu na imani yetu kwako Roho Mtakatifu kaa nasi endelea kutuimarisha.Tusamehe Baba kwa kila ambalo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu Tunaomba jumapili ya leo ikawe ya baraka tuingiapo na kutoka kila tutakapoabudu onekana katika ibada zote Baba tutoke tukiwa tumepokea yote uliyotuandalia..tunaomba wabariki watumishi wa Mungu wakatumiwe vyema na Roho wako Baba.ponya wagonjwa,fariji wafiwa ..wape tumaini wajane,wagane na yatima ..tumaini liwe kwako tu Mfalme wa Amani.Tunakabidhi kila tunalopitia katika maisha yetu Baba tunajua kwako liko jibu.Bariki kazi za mikono yetu na Bariki sadaka zetu za leo zote uzitakase ziwe njema machoni pako.Endekea kuwaongoza watoto wetu na wajukuu wetu waendelee kukutafura kwa bidii kukupenda na kukutumikia tunakabidhi maisha yao ,njia tao,mawazo yao na haja za mioyo yao ziwe kwako .Endelea kuimarisha familia zetu imarisha upendo na mshikamano na Baba tujengee tabia ya kukuitankwa kila tunalopitia tutende kwa utukufu wa jina lako takatifu.Tunaomba yote katika jiba la Yesu Kristo Amen.
JUMAPILI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()
Hii lugha sijui MkuuOn how?
Bora wewe hukumaliza ada lkn walau unajua,mm ndio sijui kabisaaaHatukumalizia ada![]()
![]()
![]()
![]()
Ningependa kujua zaidi kuhusu Area 51...5: Ghala la Doomsday
Ghala la Doomsday lipo katika Kisiwa cha Spitsbergen, Norway ikiwa ni moja kati ya sehemu zinazopewa ulinzi wa hali ya juu zaidi duniani. Ulinzi unaopewa ghala hili ni kwa sababu ndimo zilimohifadhiwa zaidi ya aina 3,000 za mbegu. Hii ni kulinda dunia iwapo kutatokea vita au majanga ya asili yatayakayosababisha uhaba wa chakula duniani.
6: Area 51
Hii ni moja kati ya sehemu zenye ulinzi mkali zaidi duniani. Ni eneo ambalo hutumika kutengeneza ndege za kivita za Marekani, mabomu ya nyuklia na vifaa vya kiteknolojia vilivyotumika katika safari ya mwezini mwaka 1945.
7: Mlima wa Chuma
Mlima huu upo Pennsylvania, Marekani ambao unatumika kuhifadhi mitambo inayoendesha mitandao ‘internet’. Sehemu hii pia hutumika kuhifadhi data na nyaraka za siri za serikali ya Marekani
Nilivyoona anaongelea 'aliens',nikaishia hapo hapo.Fictitiously
Mambo mengine huenda ni kweli ila chumvi zimezidi...
Niletee nyanya tenga 1000 hapa Bunju nilishie ng'ombe mkuuNchi zinazolima nyanya kwa wingi duniani ni pamoja na USA, Italia na Mexico. Kwa upande wa Africa ni kama; Malawi, Zambia na Botswana. Zao hili hulimwa pia katika nchi za Africa Mashariki, ikiwemo Kenya, uganda na Tanzania.
Kwa upande wa Tanzania mikoa inayolima nyanya kwa wingi hasa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na biashara ni pamoja na Mkoa wa Kilimanjaro (Hai, Moshi na Rombo), Arusha (Arumeru), Morogoro (Mgeta), Iringa (Ilula), Tanga (Lushoto), Mbeya (Mbeya vijijini) na Singida.
View attachment 881772
Ipipole kwa starehe!..
kulala.