Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Morning how are youGoodmorning sir![]()
![]()
![]()
![]()
Im fine sirMorning how are you
OkayIm fine sir
Okay
Im fine sir
Morning how are you
Goodmorning sir![]()
![]()
![]()
![]()
Mmngeendelea zaidiMorning
On how?Mmngeendelea zaidi
Za asbh njema bibie,nawe pia uwe na cku njema!Hbr ya asubuhi makapuku wenzangu,muwe na asubuhi njema
Salamaa tuHbr ya asubuhi makapuku wenzangu,muwe na asubuhi njema
TUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya jumapili ya leo tarehe 30 Septemba 2018Tunashukuru umetuamsha salama ..Asante kwa ajili ya wote wanaotuzunguka wamekuwa baraka kwetu na Asante kwa ajili ya maisha yetu na imani yetu kwako Roho Mtakatifu kaa nasi endelea kutuimarisha.Tusamehe Baba kwa kila ambalo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu Tunaomba jumapili ya leo ikawe ya baraka tuingiapo na kutoka kila tutakapoabudu onekana katika ibada zote Baba tutoke tukiwa tumepokea yote uliyotuandalia..tunaomba wabariki watumishi wa Mungu wakatumiwe vyema na Roho wako Baba.ponya wagonjwa,fariji wafiwa ..wape tumaini wajane,wagane na yatima ..tumaini liwe kwako tu Mfalme wa Amani.Tunakabidhi kila tunalopitia katika maisha yetu Baba tunajua kwako liko jibu.Bariki kazi za mikono yetu na Bariki sadaka zetu za leo zote uzitakase ziwe njema machoni pako.Endekea kuwaongoza watoto wetu na wajukuu wetu waendelee kukutafura kwa bidii kukupenda na kukutumikia tunakabidhi maisha yao ,njia tao,mawazo yao na haja za mioyo yao ziwe kwako .Endelea kuimarisha familia zetu imarisha upendo na mshikamano na Baba tujengee tabia ya kukuitankwa kila tunalopitia tutende kwa utukufu wa jina lako takatifu.Tunaomba yote katika jiba la Yesu Kristo Amen.


Hivi yupo ?
Nitag akifika
Uko poa ?Morning
AmeeenTUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya jumapili ya leo tarehe 30 Septemba 2018Tunashukuru umetuamsha salama ..Asante kwa ajili ya wote wanaotuzunguka wamekuwa baraka kwetu na Asante kwa ajili ya maisha yetu na imani yetu kwako Roho Mtakatifu kaa nasi endelea kutuimarisha.Tusamehe Baba kwa kila ambalo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu Tunaomba jumapili ya leo ikawe ya baraka tuingiapo na kutoka kila tutakapoabudu onekana katika ibada zote Baba tutoke tukiwa tumepokea yote uliyotuandalia..tunaomba wabariki watumishi wa Mungu wakatumiwe vyema na Roho wako Baba.ponya wagonjwa,fariji wafiwa ..wape tumaini wajane,wagane na yatima ..tumaini liwe kwako tu Mfalme wa Amani.Tunakabidhi kila tunalopitia katika maisha yetu Baba tunajua kwako liko jibu.Bariki kazi za mikono yetu na Bariki sadaka zetu za leo zote uzitakase ziwe njema machoni pako.Endekea kuwaongoza watoto wetu na wajukuu wetu waendelee kukutafura kwa bidii kukupenda na kukutumikia tunakabidhi maisha yao ,njia tao,mawazo yao na haja za mioyo yao ziwe kwako .Endelea kuimarisha familia zetu imarisha upendo na mshikamano na Baba tujengee tabia ya kukuitankwa kila tunalopitia tutende kwa utukufu wa jina lako takatifu.Tunaomba yote katika jiba la Yesu Kristo Amen.
JUMAPILI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()
Alienda kumtafutia binamu namba hajarudi badoNitag akifika
Kweliii kabisa n ipo siku huyu binamu watampoteza kabisaKatelwa na wanaojulikana
Vyeusi mangala![]()
![]()
![]()
![]()
Twende kwa mganga wenu tukamtie upofu asiwaoneKweliii kabisa n ipo siku huyu binamu watampoteza kabisa