Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya jumapili ya leo tarehe 30 Septemba 2018Tunashukuru umetuamsha salama ..Asante kwa ajili ya wote wanaotuzunguka wamekuwa baraka kwetu na Asante kwa ajili ya maisha yetu na imani yetu kwako Roho Mtakatifu kaa nasi endelea kutuimarisha.Tusamehe Baba kwa kila ambalo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu Tunaomba jumapili ya leo ikawe ya baraka tuingiapo na kutoka kila tutakapoabudu onekana katika ibada zote Baba tutoke tukiwa tumepokea yote uliyotuandalia..tunaomba wabariki watumishi wa Mungu wakatumiwe vyema na Roho wako Baba.ponya wagonjwa,fariji wafiwa ..wape tumaini wajane,wagane na yatima ..tumaini liwe kwako tu Mfalme wa Amani.Tunakabidhi kila tunalopitia katika maisha yetu Baba tunajua kwako liko jibu.Bariki kazi za mikono yetu na Bariki sadaka zetu za leo zote uzitakase ziwe njema machoni pako.Endekea kuwaongoza watoto wetu na wajukuu wetu waendelee kukutafura kwa bidii kukupenda na kukutumikia tunakabidhi maisha yao ,njia tao,mawazo yao na haja za mioyo yao ziwe kwako .Endelea kuimarisha familia zetu imarisha upendo na mshikamano na Baba tujengee tabia ya kukuitankwa kila tunalopitia tutende kwa utukufu wa jina lako takatifu.Tunaomba yote katika jiba la Yesu Kristo Amen.
JUMAPILI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
 
TUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya jumapili ya leo tarehe 30 Septemba 2018Tunashukuru umetuamsha salama ..Asante kwa ajili ya wote wanaotuzunguka wamekuwa baraka kwetu na Asante kwa ajili ya maisha yetu na imani yetu kwako Roho Mtakatifu kaa nasi endelea kutuimarisha.Tusamehe Baba kwa kila ambalo tumeenda kinyume na mapenzi yako uturehemu Tunaomba jumapili ya leo ikawe ya baraka tuingiapo na kutoka kila tutakapoabudu onekana katika ibada zote Baba tutoke tukiwa tumepokea yote uliyotuandalia..tunaomba wabariki watumishi wa Mungu wakatumiwe vyema na Roho wako Baba.ponya wagonjwa,fariji wafiwa ..wape tumaini wajane,wagane na yatima ..tumaini liwe kwako tu Mfalme wa Amani.Tunakabidhi kila tunalopitia katika maisha yetu Baba tunajua kwako liko jibu.Bariki kazi za mikono yetu na Bariki sadaka zetu za leo zote uzitakase ziwe njema machoni pako.Endekea kuwaongoza watoto wetu na wajukuu wetu waendelee kukutafura kwa bidii kukupenda na kukutumikia tunakabidhi maisha yao ,njia tao,mawazo yao na haja za mioyo yao ziwe kwako .Endelea kuimarisha familia zetu imarisha upendo na mshikamano na Baba tujengee tabia ya kukuitankwa kila tunalopitia tutende kwa utukufu wa jina lako takatifu.Tunaomba yote katika jiba la Yesu Kristo Amen.
JUMAPILI NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
Ameeen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom