xavia jr
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 916
- 1,905
xaxa we mgomvi hahaha haha.Mbona umeleta ishu za kupigwa???....mtoto aliekulia apigwapo hiyo ndio approach yake....the same to affairs![]()
xaxa we mgomvi hahaha haha.Mbona umeleta ishu za kupigwa???....mtoto aliekulia apigwapo hiyo ndio approach yake....the same to affairs![]()
I can see the fear in your wordsYeye hayupo hivyo!
Inapendeza kweli.Leoumebadili avatar
Huyo ni shem wako nataka anisaidie nipate![]()
Salamu zao kina awilo longomba
yupo BrusselsSasa mpaka hapa uko safe side, mambo yashakaa sawa......Naona unaanzisha vita baridi

Dunia wamepita watu wa kila ainaCocaine God mother
Wewe endelea kujidanganya.I can see your fear in your words
Mbona bado mapema!!
Ila yule bi mkubwa alitikisa dunia tena sio kwa mazuri Bali kwa mabaya tupuDunia wamepita watu wa kila aina
Dadake mie namiss pendo lakoSalamu zao kina awilo longomba
Wale jamaa nao kwa kufight yani karibu wote wana uraia wa dunianiyupo Brussels
Hayo ni mahusiano yako ya kwanzaeeh???Wewe endelea kujidanganya.
I have no fear!
Mi huwa natoa pendo in return tuDadake mie namiss pendo lako
Hahaa ya kwanza na ya mwisho!Hayo ni mahusiano yako ya kwanzaeeh???
Akina Oliver Tambo, Abdulrahman Babu, John Okello, Jk Nyerere, Thomas Sankara etcHatuwezi kuwasahau kina Mandela
siku yako imeendaje so far?Nipe ripoti!
Hahahahaaa....Nako pia suspension nilipigwa sanaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
See!!! Ni sawa na ku-introduce habari za mziki mtamu kwa kiziwi.Hahaa ya kwanza na ya mwisho!