Makapuku Forum

Makapuku Forum

Daktari Fredrik Mashili kutoka Muhimbili amesema, watu wengi nchini wanaotumia dawa za kupunguza unene, hutumia dawa za kuwafanya waharishe na hivyo kupoteza maji mengi mwili.

Hivyo, watu hao huwa hawapungui, bali mwili husinyaa kwa kupoteza maji jambo ambalo ni hatari kiafya.

Vibongeeee mpo View attachment 879578
somo zuri sana hili!
 
Asubuhi njema watu wema mnaolifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Kama hakuna jipya basi tukutane mida ya jioni, happy furahiday beautiful people and as always (for our English members) this forum is great because you, yes you reading here right now, you are here. We are not strangers rather a bunch of friends who have not met yet. Nanoa kiinglish mwenzenu nina intavyuu na mzungu mweusi mmoja. Wish me good luck na huwezi jua ninaweza kupata nachotafuta na kuja kukushukuru wewe ambaye umeweza hata kusoma hapa. Much love, tuifanye furahiday kuwa rahisi “easy one”
 
Asubuhi njema watu wema mnaolifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Kama hakuna jipya basi tukutane mida ya jioni, happy furahiday beautiful people and as always (for our English members) this forum is great because you, yes you reading here right now, you are here. We are not strangers rather a bunch of friends who have not met yet. Nanoa kiinglish mwenzenu nina intavyuu na mzungu mweusi mmoja. Wish me good luck na huwezi jua ninaweza kupata nachotafuta na kuja kukushukuru wewe ambaye umeweza hata kusoma hapa. Much love, tuifanye furahiday kuwa rahisi “easy one”
Mm hujawahi nichangia ada binamu so tusisumbuane na hcho kingereza chako
 
TUOMBE:MUNGU Baba Mwenyezi tuna kila sababu ya kukushukuru umekua mwema kwetu asante kutuamsha salama leo Ijumaa tarehe 28 Septemba 2018 Tunaomba Tubariki Tulinde Tuongoze kila tutakapokuwa leo Tubaomba tobabkwa kika kosa tusamehe Ee Baba. Tuepushe na hatari zote za mwili na za Roho..maneno na matendo yetu yakupendeze.Bariki wote majumbani mwetu ponya wagonjwa fariji wafiwa.wasafiri wote waende na kurudi salama epusha kila baya maishani mwetu.Tunakabidhi kazi za mikono yetu ziwe za kukupendeza tunaomba mshikamano,uvumilivu na kila mmoja ajue umuhimu wa mwenzake tunaomba utubariki Ee Baba tunaomba utusikie .Siku ya leo imarisha imani yetu tufanye tuseme ndiyo Kwako Mfalme wa Amani Roho Mtakatifu kaa nasi ni katika jina la Yesu Kristo tunaomba na kuamini Amen.
IJUMAA NJEMA YA USHINDI DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE AMEN
 
.
Screenshot_20180928-081206.jpeg
Screenshot_20180928-081222.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom