6. Hunywa vinywaji moja kwa moja kwenye mdomo wa chupa bila kutumia glass wala vikombe. Na akipika, basi atakula kwa kutumia chombo hiucho hicho alichopikia.
7.Kutopenda kupika na kula mkate au matunda yote yaliyohifadhiwa kwa wakati mmoja. Wakati mwingine hununua vyakula vingi kupita kiasi na kuacha viharibike bila kupiuka wala kuvitumia.
8. Kucheza michezo ya kitoto ndani, na mara nyingi kuwa mchafu kupitiliza.
9.Kutojali kutengeneza vitu vilivyoharibika kwa wakati.
10. Hawapendi wageni wanaokuja bila taarifa kwani wengi wanachojali ni nguo zao tu, kwa kuwa ndizo zitakazoonekana wanapotoka!