Makapuku Forum

Makapuku Forum

MotherTeresa_090.jpg

Mama Teresa mnamo mwaka 1990.

Mama Teresa wa
Kolkata (26 Agosti 1910 – 5 Septemba 1997) alikuwa mtawa wa Kanisa Katoliki aliyejulikana kimataifa hasa kutokana na huduma zake kwa watu maskini katika mji wa Kolkata (Uhindi) na kwingineko iliyofanya apatiwe tuzo ya Nobel ya Amani mwaka 1979.
Tuzo_Nobel.png

Tarehe 19 Oktoba 2003 alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri.

Baada ya muujiza wa pili kufanywa na Mungu kwa maombezi yake, Papa Fransisko amemtangaza kuwa mtakatifu tarehe 4 Septemba 2016.

Sikukuu yake hua dhimishwa kila mwaka tarehe 5 Septemba.

Siku hiyo hiyo imetangazwa na mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa kuwa siku ya kimataifa ya upendo kuanzia mwaka 2013.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom