Binamu jamani hata unanichekesha nisicheke kweliNakuangalia na kicheko chako cha kutaka kuniharibia jina. Ujue wewe ndo ndugu yangu pekee unayeweza kunisaidia kwenye mambo ya msingi
Mzoee ndio alivyo hela yake anatumia mwenyeweKumbe nauli nitajitegemea?Basi siji
Wapi huko wanaume wanapodiriki kutukanana na wanawake tena warembo kama weye kungwi wangu?![]()
Hao hao ndo wakorofi mno,mie sikopeshi tunaenda sawa mpaka uzi unafutwa




Nko poa binamuSi bora ngekewa ingeniangukia, kicheko cha aunt yangu tayari kimeniharibia, Sasa nakutegemea wewe uoneshe kuwa Mimi ni mtu makini.
Umeamka poa lakini.
Ngoja niende nikasake faranga tutaonana jioni nikiwa kwenye bendi hapa bwalo la magereza
muangalie tv ya isidingo

Mungu wangu! Wewe Mwanamke wewe!
TUOMBE:
Baba Asante kutuamsha salama tukiwa wazima siku ya leo .Tunaomba Toba tusamehe..Tunajikabidhi mikononi mwako endelea kutupigania Mfalme wa Amani.Tuponye,Tubariki,Tuhuishe.
Tunajikabidhi sisi na kila tunalopitia Baba mikononi mwako..wafariji wafiwa wote wape mahitaji na tumaini wajane,wagane ,yatima watie nguvu waliipondeka mioyo.
Damu Takatifu ya Yesu Kristo inene mema makazini,safarini,katika masomo,kwa watoto na wahitaji wote wakutafute wewe .Hesabu hatua zetu Roho Mtakatifu kaa nasi.Ni katika jina la Yesu Kristo naomba na kuamini Amen
SIKU NJEMA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()

somo zuri sana hili!
Asubuhi njema watu wema mnaolifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Kama hakuna jipya basi tukutane mida ya jioni, happy furahiday beautiful people and as always (for our English members) this forum is great because you, yes you reading here right now, you are here. We are not strangers rather a bunch of friends who have not met yet. Nanoa kiinglish mwenzenu nina intavyuu na mzungu mweusi mmoja. Wish me good luck na huwezi jua ninaweza kupata nachotafuta na kuja kukushukuru wewe ambaye umeweza hata kusoma hapa. Much love, tuifanye furahiday kuwa rahisi “easy one”
Karibu tulinde jukwaaaHaya haya muda huu
Naam, Hahaha hujambo bintiKaribu tulinde jukwaaa
Sijambo za wwNaam, Hahaha hujambo binti