Lile jukwaa limenishinda mm yaani siliwezi na sina mzuka nalo kabisa ugomvi nje nje kule hapananakumbuka mwanzon wakati naanza ingia mule nilipata upinzani mkali eti wewe humu sio fani yako nenda kuleee utadhani wananilipia vocha nikakomaa nao humo humo
..kwani walijua una fani gani hao mafanani waliotaka kukuzibia kugawa ilmu bure?
Nitaenda kwenye hilo Jukwaa nami nikaangalie
6. Hunywa vinywaji moja kwa moja kwenye mdomo wa chupa bila kutumia glass wala vikombe. Na akipika, basi atakula kwa kutumia chombo hiucho hicho alichopikia.
7.Kutopenda kupika na kula mkate au matunda yote yaliyohifadhiwa kwa wakati mmoja. Wakati mwingine hununua vyakula vingi kupita kiasi na kuacha viharibike bila kupiuka wala kuvitumia.
8. Kucheza michezo ya kitoto ndani, na mara nyingi kuwa mchafu kupitiliza.
9.Kutojali kutengeneza vitu vilivyoharibika kwa wakati.
10. Hawapendi wageni wanaokuja bila taarifa kwani wengi wanachojali ni nguo zao tu, kwa kuwa ndizo zitakazoonekana wanapotoka!
Lile jukwaa limenishinda mm yaani siliwezi na sina mzuka nalo kabisa ugomvi nje nje kule hapana
Duh, umenikumbusha maisha baada ya kumaliza VeTA, aisee ni kama umeyaona maisha yangu.Neti nilikuwa nimeiseti kitandani yaani nikija kulala utasema naingia kwenye handaki. maisha yalibadilika pale niliponunua kiroba cha mchele na maharage nikaona nitafute mrembo wa kusaidiana naye kula. Kiroba kilipoisha akaondoka
Zikiwa nyingi nitamgaia binamu hiko ulichonunua kitu kizuri used ni nn
Nina wasiwasi na namba 5, mbona sasa sikio halikui kuzidi kichwa?JE WAJUA UNAUWEZO WA KUKUMBUKA AINA ELFU 50 ZA HARUFU? SOMA MENGINE KUMI YA KUSHANGAZA KUHUSU MWILI WAKO!
1. Mwanaume huzalisha mbegu milioni kumi za uzazi siku! Kwa maana hiyo, anauwezo wa kujaza idadi yote ya dunia kwa miezi sita tu!
2. Mtoto Mchanga ana mifupa 60 zaidi ya mtu mzima
3 Kuna kilomita laki mbili za mishipa ya damu kwenye mwili wa binadamu!
4. Misuli ya taya (mashavuni) Ndio misuli yenye nguvu kuliko misuli mingine yote kwenye mwili wa binadmu!
5.Masikio na Pua huendelea kukua bila kikomo hata binadamu akifikia utu uzima
Hahahhaha wanakupangiaNilikua na fani ya kutafsiri isidingo entertainment huko. Sasa jamaa wakataka kulazimisha nishinde ndani ya uzi mmoja tu ati ndo napawezea zaidi.
Duh, umenikumbusha maisha baada ya kumaliza VeTA, aisee ni kama umeyaona maisha yangu.Neti nilikuwa nimeiseti kitandani yaani nikija kulala utasema naingia kwenye handaki. maisha yalibadilika pale niliponunua kiroba cha mchele na maharage nikaona nitafute mrembo wa kusaidiana naye kula. Kiroba kilipoisha akaondoka
Nina wasiwasi na namba 5, mbona sasa sikio halikui kuzidi kichwa?
Hahahhaha wanakupangia
Unaona sasa kila mtu na starehe yake woiiiugomvi kwangu raha
...wee naye unakuwa mgeni na mimi jameni, nisiponunua saa mpya basi nanunua simu ya smartphone. ila sasa nimepanda ngazi kidogo, nimenunua Ipad, ni nzuri na nimeshaweka magemu.
Duh, umenikumbusha maisha baada ya kumaliza VeTA, aisee ni kama umeyaona maisha yangu.Neti nilikuwa nimeiseti kitandani yaani nikija kulala utasema naingia kwenye handaki. maisha yalibadilika pale niliponunua kiroba cha mchele na maharage nikaona nitafute mrembo wa kusaidiana naye kula. Kiroba kilipoisha akaondoka
Unaona sasa kila mtu na starehe yake woiiimtu kaniquote tu ghafla povu namuuliza ulikuwa unanitafutiaga sababu au thread sio yako sijakuquote alitukana nilitukana mpaka nikaamua kutoka mwenyewe halafu mwanaume sasa
ukinunua tena kiroba kingine niite nije tule wote
Wapi huko wanaume wanapodiriki kutukanana na wanawake tena warembo kama weye kungwi wangu?Unaona sasa kila mtu na starehe yake woiiimtu kaniquote tu ghafla povu namuuliza ulikuwa unanitafutiaga sababu au thread sio yako sijakuquote alitukana nilitukana mpaka nikaamua kutoka mwenyewe halafu mwanaume sasa
Mualikwa haaliki, nitakula mimi na yeye tu.Usisahau kunialika kula ila malipo ya udhamini huo utalipa mwenyewe
ukinunua tena kiroba kingine niite nije tule wote