Makapuku Forum

Mh
 
Asanteeeeee
 
Asante sana numbii
 

...basi maneno haya yafaa nini kama unaenda kumfariji mtu mikono mitupu?

 
Na wanajuta waliojichora wakina munalove
 


...anko wangu sasa Lyon Lee tulienda kumfariji mchepuko wake mmoja Yombo Buza aliyosema hata chakula hatukupewa, tuliishia kupewa maji tu tena kwenye vikombe vile wanavyonyweaga uji watoto wa chekechea.
Eti alisema, namnukuu. Pole sana ..nanihii (akataja jina) msiba ulioupata wewe sio wa kwanza kuupata, tena nafurahi mmemzika marehemu kwenye kaburi zuri sana, hizo hela bora hata mngetunza mkaandaa sherehe ya kumuaga marehemu. Oh, usilie sana maana makaburi hayajajaa hata kidogo." mwisho wa kumnukuu mjomba wangu.

Mimi ilibidi nizibe maskio sikuongea kitu hadi tulipochukua uber kurudi makwetu.

Hili somo linamfaa sana anko. Asante sana mdau
 
Uwiii jamani,siwezi na saiv nazifuga nataka zifikie kucha za ben ten wako(ushawahi ziona?) ila sasa kufua adui wa ufugaji wa kucha
Hahhahah
Yaan halafu kingozi nacho unakivuta kabisa unasikia maumivu lakini huachi mpaka unatoka damu
 
 

 
Hahhaha sijawahi ziona anakucha ndefu sana mkono wa kushoto nafuga halafu eti kutafuna siwezi kabisa nashindwa kujielewa ila wa kulia ndio nazitafuna mpaka kingozi
Uwiii jamani,siwezi na saiv nazifuga nataka zifikie kucha za ben ten wako(ushawahi ziona?) ila sasa kufua adui wa ufugaji wa kucha
 
Duh wala kucha nawahurumia sana maana mnakula mpaka kufikia ngozi daah

...tena wengine huwa wanaweka hadi na chumvi kuongeza ladha? acha tu mazoea ni addiction ya aina yake. mmoja alikuwa anakula kucha hadi akapata maguugu (ukoma)
 
Ee picha zimejaa tele kule likes. Ukija kule ukaomba picha utarushiwa fasta.

napita tu nisije suntwa na bae wa uzi wetu
Hahhaha sijawahi ziona anakucha ndefu sana mkono wa kushoto nafuga halafu eti kutafuna siwezi kabisa nashindwa kujielewa ila wa kulia ndio nazitafuna mpaka kingozi
 
Duh aisee mateso hayo
...tena wengine huwa wanaweka hadi na chumvi kuongeza ladha? acha tu mazoea ni addiction ya aina yake. mmoja alikuwa anakula kucha hadi akapata maguugu (ukoma)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…