Mim napenda kula mbuzi wa mbeya..!Kujitoa akili![]()
![]()
![]()
Sema kweliMbuzi wa mbeya watamuuu..![]()
Tumekumiss piaNawamisije jamani
Mim napenda kula mbuzi wa mbeya..!
Wako natural..! Hakuna makorokoro
uwe unakuja mara kwa maraSema kweli
Nilikuja kipindi kile ukaogopa kutokea...![]()
siku ile ulosema upo city pubHakuja bhana! Afu sijui alikuwa amejichimbia wapi...![]()
![]()
![]()
siku ile ulosema upo city pub
Kwan kaka mndali hakuja
Itakuwa alikuwa mbalizi,siku nyingine ukija tutakuja usijaliHakuja bhana! Afu sijui alikuwa amejichimbia wapi...
Sema kesho yake niliondoka mimi.
Haya sawa sawa mama wabeseItakuwa alikuwa mbalizi,siku nyingine ukija tutakuja usijali
Duuuuuh tumekukoseaaa nini mm na anko wangu Obe jamaniiiMambo ya obe na lee siku ya Get together kinondoni.View attachment 874143
Mtt wenu bwana hajambo kabisaaaaYako pouwa kabisaa!
Mwanetu anaendelea pouwa ?
Mwambie uncle anamsalimiaMtt wenu bwana hajambo kabisaaaa
Usijali zimeshafikaMwambie uncle anamsalimia