eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Sisi tulioamshwa wazima tumshukuru Mungu maana pamoja na kuamshwa hakuna ajuaye nini kitatokea dakika moja baadae
Thanks God for another day
Thanks God for another day
SalamaMakapuku forum habari ya asubuhi
Nzuriii ...kwemaMakapuku forum habari ya asubuhi
Na mm ntavaa nyanya pensi

Nataka kumfahamuWewe si umshamjua shululu tayari? Ama unataka kupigwa cable mpya?
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app

Sifa na utukufu kwa atoae pumzi
Jumamosi tulivu yenye maombolezo
Rest in peace kwa wote waliopoteza maisha ndani ya MV Nyerere
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mbunge na DC walipiga sana kelele kwa kile kivuko lakini ziliishia kutolewa ahadi tu bila utekelezaji
AmeniNjema za ww EddyMakapuku forum habari ya asubuhi
ShikamooSalama
TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi Asante kutuamsha salama leo Jumamosi Tarehe 22 Septemba 2018..Asante kuwa nasi usiku kucha wako wengi walitamani kuiona leo hawajaweza.Tunaomba toba kwa yote tuliyooenda kinyume na mapenzi yako kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twakusihi.Tuongoze siku ya leo na milele tuishi maisha ya kukupendeza..imarisha imani zetu tupe uvumilivu wa kimapendo tuwaone wenzetu wanaotuzunguka wameumbwa kwa mfano wako tuwapende,tuwaheshimu,tuwavumilie na tuwasaidie na kuwarudisha kwako pale ambapo wanahitaji msaada.tunaomba ushiriki wako katika ratiba zetu siku ya leo popote tutakapokuwa uwepo na utuongoze....tunza vinywa vyetu Baba vitumike vema ili tusiwe makwazo kwa wengine na kujiona bora kuliko wengine.


Mambo ya obe na lee siku ya Get together kinondoni.Na mm ntavaa nyanya pensi![]()
![]()
![]()
![]()
Sema bhanaa! Tukachafue ukuta..Hapana mkuu![]()
![]()
![]()
Hapana sitaki Shululu anitoshaSema bhanaa! Tukachafue ukuta..
Ndio utulie sasa! Wewe umekirukia mambo kumbe mwenzako anataka kupigwa cable..?Hapana sitaki Shululu anitosha



MarahabaaaShikamoo
Mweeee kumbe ndo dhamira yke hyoNdio utulie sasa! Wewe umekirukia mambo kumbe mwenzako anataka kupigwa cable..?![]()

Wengine wako wapi kwanHapana bhanaa.!
Natania tuu![]()