Makapuku Forum

Nah haimaanishi sitakuwa natoa bila kuombwa, ila labda sijaelewa mnaposema natakiwa nisiombwe nitoe tu ina maana kila siku/wiki/mwezi natoa tu hela!?. Mara moja moja kumpa as kanunue vitu vyako or kaspend ni kawaida but najisikia vizuri nikinunua kitu kumpa. Ila hela nataka aniombe mwenyewe.
Hapo najua kweli ana shida mpaka kaniomba!. Ubahili navyoona ni kumwambia sina kila akiomba sio kutompa kama hajaniomba!
 
Semaa ukweliiiii nikupitieeeeeeee nikupelekeee ngarenarooo oooooh ooh mama ...


Nipo nakula nikipendachoooo hapa
Wewe utanijaza bana kama vipi niwe na uhakika unakuja nitumie hela kabisa

Kuna chimbo hilo naendaga kula mishkaki mishkaki ya nundu mmoja elf 1500 acha kabisa mitamu
 
Hapo sasa tupo pamoja wick mm nazungumzia hiyo ya mara moja kumpa ndio point yangu

Ila kumuomba mwanaume pesa ni kipaji jamani wengine hatuna na ukiona nimekupigia simu nakuomba hela uwiiiiiiiiiii juwa kweli yamenifika hapa yaani hiyo shida ni kubwa sana

Tupo pamoja sasa
 
Wewe utanijaza bana kama vipi niwe na uhakila unakuja nitumie hela kabisa

Kuna chimbo hilo naendaga kula mishkaki mishkaki ya nundu mmoja elf 1500 acha kabisa mitamu
Daaaaah kuna ile ya pale fish fish itanifirisiiiii

Alafu kuna chimbo la ndani kile kitu wanakianda hadi raha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…