Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Kazi yake
Sio machuma zinaitwa dumpbells
Sio machuma zinaitwa dumpbells
Naam!! Kabisa naunga mkono hojaMwanaume anaemfokea mwanamke anahitaji kazwa nati.
Yeah kimsingi ni maalum kwa mazoezi
basi Mama wawili!!..mm kubwa lakini sijafikia kwenye ubibi jamani
Daah wewe mchokozi, yeah kimtindoKwahiyo ww ni mzee wa six pack
Ooooh sawaAwe mchakarikaji![]()
karibuOoooh sawa
Karibu sanaNimepita Tu kuwasalimia Tutaonana Tena
sasa bibi we mtu mzima gani!?..
Asante shem wangu uwe na usiku mwema usitusahau sana tupo na alosto





mmebahatisha leo yaani arsenal mna kelele kama yanga




maswali yana mana sana mm mtu mzima sana bwana ebu acha maswali maswali
sasa bibi we mtu mzima gani!?..
ooh nishajisahau 'bebe'..
Tulia mnasubiriwa na watford huko..mmebahatisha leo yaani arsenal mna kelele kama yanga
Nije man uuende wapi!?..