Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,292
kwangu siku zote zipo sawa
kwangu siku zote zipo sawaMh nn mkubalie ombi lake bwana muote
Utaaibika katumie bavaria tu..




hapo kwenye kutumia Bavaria ndio siwezi yaani ndio mana siwezi kwenda sikawii kusema mm ndio shunie
...mara ya mwisho kulala masaa 7 sikumbuki. Mimi ni mtu wa masaa 4-5 yakijumuisha na lile zoezi la walala uchi.
hapo kwenye game sasa, ninacheza sana Candy crush, kama ABJ anapenda anitumie namba ya simu nimuinvite
Makala nzuri asante
Yaan binamu ww no ya simu tu ya abj







huyo bwana anawaza marejesho ya mkopo kesho yake
Hivi baby daddy ndio wanasemaga 3some eenhMalcom Lumumba ana veto yangu nae!..🙂
Kwa nn kila siku unataka no ya abj jamani...kwani kuna jipya gani aunt yangu ninayekupenda? kama vipi nitetee mimi na wewe ndugu
![]()
![]()
![]()
kwangu siku zote zipo sawa
hahahh...hapo kwenye kutumia Bavaria ndio siwezi yaani ndio mana siwezi kwenda sikawii kusema mm ndio shunie
Binamu ObeView attachment 866502
Game bora zaidi...
Nasikia ni Polygamous kwa lugha ya kimalkia inaitwa!..Hivi baby daddy ndio wanasemaga 3some eenh
hahahh...




Halafu huku watu wameshashusha thread sasa wanaongelea vituko vya huko hivi baby daddy sura yako utaiweka wapiKila siku binamu simu mpya

daah kweli kiswahili kigumu




...ningeshangaa kwa kweli? kwa hiyo haunaga hata siku yako moja? Kiswahili hiki kinaweza kutatanisha, namaanisha hivi, huwa haunaga siku zako? yaani wewe siku zote ni sawa tu?
View attachment 866502
Game bora zaidi...