Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwangu siku zote zipo sawa
Numbisa asante kwa makala nzuri na nzitonzito lakini unajua kuwa leo ni Furahiday? maana unaweka makala nzuri bandika bandua na wengine kama anko wangu Lyon Lee mzee nyumba nyingi hapendi saa hizi kavinjari sehemu alinipita hapa kwenye shoo matata sana.
Hebu tuhurumie basi, au wewe hujasika dini?
 
Kapicha kamenijia,zoezi la walala [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
40264259_2242470462665752_427949879089631507_n.jpg

...mara ya mwisho kulala masaa 7 sikumbuki. Mimi ni mtu wa masaa 4-5 yakijumuisha na lile zoezi la walala uchi.

hapo kwenye game sasa, ninacheza sana Candy crush, kama ABJ anapenda anitumie namba ya simu nimuinvite

Makala nzuri asante
 
[emoji125][emoji125]daah kweli kiswahili kigumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...ningeshangaa kwa kweli? kwa hiyo haunaga hata siku yako moja? Kiswahili hiki kinaweza kutatanisha, namaanisha hivi, huwa haunaga siku zako? yaani wewe siku zote ni sawa tu?
 
Back
Top Bottom