Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aaaah, sikukataa bwana.
Salamu hiyo huwa inawafanya watu waogope na wasiwe huru kwenye kuzungumza bwana. Ndiyo maana humu ndani mara chache sanaaa


.....hizi salamu unaweza kukuta mjadala unashindwa kunoga sababu ya hizi shikamoo au kama watu wanavyomuitaga anko wango Lyon Lee 'Mkuu' mjadala ukishaanza na utangulizi wa maneno ya namna hii unakosa ladha fulani hivi
 
.....hizi salamu unaweza kukuta mjadala unashindwa kunoga sababu ya hizi shikamoo au kama watu wanavyomuitaga anko wango Lyon Lee 'Mkuu' mjadala ukishaanza na utangulizi wa maneno ya namna hii unakosa ladha fulani hivi

Kweli kabisaaa
Sijui Prof, Mheshimiwa, Dr, Jaji, Bosi.
Huwa zinakataga radha bwanaa
Sizipendagi kabisaaa hizi salama basi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom