Timu gani hiyo,
Lipuli au Sengo ??
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa anko nimekuelewa Obe kuanzia ijumaa mpaka jumapili hapokei shikamoo ni hi au hellow




au umuite na mkuu
![]()
![]()
![]()
Wazee wengi hawapendi shikamoo toka kwa mabintiiii
Hahahaha,au umuite na mkuu
Sawa anko nimekuelewa Obe kuanzia ijumaa mpaka jumapili hapokei shikamoo ni hi au hellow
Nitakufundisha ktu ganMimi hapa utanifundisha!?..
Subiri ntakapokusomea mashtaka ykoMefanya nini tena mama!!!...
Ni njema kabisa...marhaba binamu, za leo mtu wangu wa maana
Ndio kwao Lushoto
....kuna mgahawa upo karibu na keep left ya samora, mishkaki na chipsi ya nguvu, nyama nilikuwa nakula kwa uangalifu, Iringa huwezi jua unaletewa nyama gani

au umuite na mkuu
WamekulandishaHahaha
Halafu binamu ww na anko malcom mnapenda nyama kama mm

Huo mfano sijauelewaa
Oooh sawa mkuu......ilikuwa timu moja ya jeshi, ndo ilikuwa mwanzoni kuanzishwa sasa wakawa wanahitajika wazee wa miundombinu, sikukaa sana nikatoka kusaka maisha sehemu nyingine
Ngoja nimuamkie tena