Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sawa anko nimekuelewa Obe kuanzia ijumaa mpaka jumapili hapokei shikamoo ni hi au hellow

...unakakuta kabinti kamenoga kamependeza, kamejibana kakabanika vizuri halafu kwa sauti kabisa SHIKAMOO Obe, unajibu unashindwa hata kutizama namna alivyopendeza na hata kuisoma namba unaisoma kimyakimya. Bila shikamoo unajikuta unatoa na credit kabisa
 
.....ilikuwa timu moja ya jeshi, ndo ilikuwa mwanzoni kuanzishwa sasa wakawa wanahitajika wazee wa miundombinu, sikukaa sana nikatoka kusaka maisha sehemu nyingine
Oooh sawa mkuu.
Mimi pale Iringa nilikuwa nafuatilia Lipuli tokea miaka ya 80's mwishoni na 90's hadi baadae ikaja kupoteaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom