Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Binamu yangu shikamoo
...maelezo nitamuelewesha, muelekeze aje tuisheni center jirani na hospital ya mama Ngoma atanikuta hapo, atanikuta nimevaa tai nyekundu na mokasini nyeupe na suruali ya dengilizi shati limepigwa pasi na lina picha ya ndege kwenye mifuko halafu natafuna bazoka ina harufu ya kitunguu garlic
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
weka pcha tuone kichwa cha chini kinavokuwa akili ikihamia
![]()
![]()
EwaaaaaaaaaahNa mm nimemuona
Hili swali au jibuKumbe na we una wivu eenh
Katiba hairuhusuuHakuna cha peke yako mama
Nimeulizaaa jamanj
Kaa huko utakuta mjini pashasogea ureno na visa hauna...aliyeandika maneno haya ni wewe mama JJ!!!1 Duh, kumbe mjini kuzuri aisee, wewe uliyekuwa unaandika maneno ya adabu hadi unaweka na nukta kiulizo leo unataka picha ya kichwa cha chini.
Inabidi nami nitoke Lindi nije mjini wallah








...aliyeandika maneno haya ni wewe mama JJ!!!1 Duh, kumbe mjini kuzuri aisee, wewe uliyekuwa unaandika maneno ya adabu hadi unaweka na nukta kiulizo leo unataka picha ya kichwa cha chini.
Inabidi nami nitoke Lindi nije mjini wallah
Hili swali au jibu
Huu uzi kama isidingo mkuu
Katiba hairuhusuu
..nipo anko, Ijumaa mpango mzima tunakutana pale kwenye kichochoro cha bills kugonga mishkaki.
Muhimu wale wageni wasikosee..nipo anko, Ijumaa mpango mzima tunakutana pale kwenye kichochoro cha bills kugonga mishkaki.
Akijibu niitiee cookieSwali hilo
Ndoo maana nakupendaaaaKatiba inaruhusu wako akiwa kwako akitoka wa wenzako


...usiisahau na Days of our Lives ha hahahhahahhaah
Kichemo mchomekeo hikiii