Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
Hahahaha, uko sahihi ,mm siwezi kuwa serious hapa, ila nimejiFUNZA kitu
.....maisha sahihi huja kwa kujifunza kila siku.
Hahahaha, uko sahihi ,mm siwezi kuwa serious hapa, ila nimejiFUNZA kitu
Kwahiyo unabisha kujuana na mtu au watu nje ya jf na kugonga moja moto moja baridi tugange yajayo mtu chake tuliokuwepo humu jf ndio sisi wa mtaani kujuana na mtu sio big deal ni kawaida tu
Mwanaume wa wapi huyu wenzake wakiona wamezidiwa kutekwa wanatoroka wanaenda kwa wengine
Shuniiiiiiiieeeeeeeee huyu kojoooo limekoleaaView attachment 864554
Naombaa umchambe kwa hisani ya watu wa marekani
@obe nakusalimia anko
Morning
...unavyouliza kama ulipeleka hata magimbi. Kuku yule ulimpeleka kwa mwanahidaya afu huku unauliza tu ' umekula'''''
Mmmhhhh kumbe ana hadi kina mwanahidaya...anakuuliza umekula ili aje kukula,akili za anko wangu zinajijua zenyewe




MorningMorning
TUOMBE:

