Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimeshamsaidia chochote nilichonacho Mungu amfanyie wepesi na kumponya kwa magonjwa aliyokuwa nayo
Duh ni jambo jema

Usijari Mkuu utafanikiwa na utatekeleza ,mm nilikua mbali mno lkn ujumbe wako na mkuu mwingine ulinigusa,ikabidi nipige simu Dar kwa MTU afanye hivi ilivyofanyika

Binafsi nakuombea utimize lengo
Nitajitahidi kesho au keshokutwa niwe nimetimiza
 
We endelea kujifunza kitu na mm najifunza sana kitu kuhusu ww ukiongea vitu mara nyingi unamaanisha kama ile siku unashangaa unaona maajabu mm kujuana nae nje ya jf na wakati na ww kuna watu unajuana nao anyways yamepita tugange yajayo
Utani,ila nikashangaa kuona km umepanic hv ,najiFUNZA kitu humu bado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom