ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Mbona we unanisalimiaga baba watoto?Shikamoo tena ?
Mbona we unanisalimiaga baba watoto?Shikamoo tena ?
Mazoea na mke wangu yameanza lini kijana wewenipo my chocolate" nilikuwa naogopa kuja huku " maana nasikia toka kwa watu " unatangaza kuwa umeniacha ... mbaya zaidi unasema kuwa sina hela
Asante nimemjuaa mwenzangukukuacha nimekuacha kweli ila ya kusema huna hela ni chumvi
Aiseee ngoja nikameze panadol Kwanza... maaana nasikia moyo umeshaanza kukimbia marathonYaani hapo mmekutana kila mtu ana mchepuko wake
Miamala hata kama sipo jf si inaingia
Kipindi kile jf imefungiwa tumeahamia KT kwa wakenya nikasema no yako sina nikakumbuka nikupe taarifa nitakupaje imebidi niingie insta nimtumie text pacha wako nikamsalimia nikamwambia akwambienikachuniwa nikasema huruma yangu masikini imeniponza shunie mm najuta basi angejibu tu hata sawa nikamwambia nikasema nimekoma tena nilituma na link masikini

duuuuhh "....Asante nimemjuaa mwenzangu
kuniacha aniache " nakunichamba juu".. mwambie awe nakahuruma angalau" anajisikia raha moyo wangu unavyobabuka kwaajili yake
Asante cha ugimbiNawatakia jpili ya jioni njema wadau
Lakin si unajuaa salama ya leo ni mwendo wa kisiii mpaka shunie aonee wivuMbona we unanisalimiaga baba watoto?
Huu utafiti feki![]()
![]()
![]()
![]()
Nimepita leo niwasalie ndugu zangu
Umoja ni nguvu
Ukweli utatuweka huru
Adui wako ni fikira ulizo nazo
Kuamka haimanishi umeshinda salama
Kusoma huongeza marifa ila tafuta vitu vya msingi ndio usome
Nimefurahi kujumuika nanyi
Niwatakie jioni njema

Asante nimemjuaa mwenzangu



achana nae huyo,kipindi ulichonikana wewe hadharani kwa hasira nikaenda kwake
Mama wa ugimbi wakeee ushapataa hogo ?Asante cha ugimbi



Pale magari yanapogongana
Aiseee ngoja nikameze panadol Kwanza... maaana nasikia moyo umeshaanza kukimbia marathon
Khaaaaa mbea wewe hiki kicheko vipiiiii
Alikuvuaa kyuuupiiiiiii?achana nae huyo,kipindi ulichonikana wewe hadharani kwa hasira nikaenda kwake
Lakin si unajuaa salama ya leo ni mwendo wa kisiii mpaka shunie aonee wivu
Hbr ya sikuNaaam