Kuna lile lizee la eskro lile,
Lilitoa ahadi hiyo hadi mimi nikapata kuzunguzungu cha ghafla,
Sijakaa vizuri zee jingine likaahidi bei ya mkweche wangu, nikapata maluweluwe ile wamezubaa nikakimbia na ka elfu 50 kangu.
Niliwahi kuwa mwanakamati kwenye harusi moja hivi bwana, sasa muda wa mchango ulivyofika.
Wale watu wa kanda ya ziwa wakafanya watu tuogope kuchanga.
Hahaha ikabidi nichukue jagi la maji nijifanya nanawisha mikono wazee!
Ile wamezubaa nilitoka ndukiii