Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Tunaendelea kukujua naamini pia ww unaendelea kutuzoeaNimejua!, hapa inaonekana mm ndio kinega tu ,karibu wote mnajuana ,sawa sawa
Tunaendelea kukujua naamini pia ww unaendelea kutuzoeaNimejua!, hapa inaonekana mm ndio kinega tu ,karibu wote mnajuana ,sawa sawa
[emoji23] [emoji23]...basi mpika vitumbua mmoja alikuwa anayachukua haya maji unayosema anapikia vitumbua, alimroga mjomba wangu aisee
MarhabaaHahaha, kuna watu wana hadi namba za simu ( soma juu huko utaona)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] arogwe tu hakuna namna
....yaani dada ya anko wangu ambaye bahati mbaya sana ni mama yangu anakushukuru sana kwa kumsaidia mdogo wake akaachana na mpika vitumbua
Asante sana Binamu yangu [emoji7][emoji8][emoji120] nakupenda tu mm
Hahahaha ,hapa tulipofika inatoshaTunaendelea kukujua naamini pia ww unaendelea kutuzoea
Nalijua vizuri sana binamu..asante sana, na ujue nini, nakupenda pia na unalijua hilo
Na mwenye masikioUnaongea na nani eti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah yaani ww mm humu namjua tumosa na lee tu mkuu
Kichaa kimeanza huyo[emoji23] [emoji23]Unaongea na nani eti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijamboo shemeji mzimaMarhabaaaa jambo mdogo wngu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]
Na mwenye masikio
Na kweli na mm nakionaKichaa kimeanza huyo[emoji23] [emoji23]
Hi [emoji113] [emoji113] binamuu
Lup u[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]moto wa makapukuNauona motooo[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji23] [emoji23]