Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,252
- 90,445
Basi yashaisha kwa neno hili ,safi sana ,Aman itawaleNitumie ya Heineken nifute
Basi yashaisha kwa neno hili ,safi sana ,Aman itawaleNitumie ya Heineken nifute
Haya nitumie namba pmNitumie ya Heineken nifute
Basi yashaisha kwa neno hili ,safi sana ,Aman itawale
Binamu yangu Obe naomba uje jamani uniwekee nyimbo inibembeleze nilale
No sina namba zako tokea nichange simu niliikosaaKumbe kweli ulinipaga block
Lipo kama halipo kunywa ulalee na kibonge wako...hebu chagua wimbo niucheze kabla sijaagiza kinywaji kingine.
BTW, asante kwa Je Wajua na leo nimegudua kuwa nyau/paka kumbe inabidi awaheshimu wachina, wanamla akicheza.
Kuna Jipya?
Kuna nn tena humu mbn ghafla tu, ndio maana haya mambo ya kukojoleana nayaogopa (/sasa cjui mnataniana au mnaviziana )

Kulikuwa hakuna chochote mtu chake uwe na jamani kabisa ila kukojoleana na lee siwezi hata nizidiwe vipiii
Shikamoo binamu yangu jamani...hebu chagua wimbo niucheze kabla sijaagiza kinywaji kingine.
BTW, asante kwa Je Wajua na leo nimegudua kuwa nyau/paka kumbe inabidi awaheshimu wachina, wanamla akicheza.
Kuna Jipya?
Man fongo kumbe ndo maana wimbo wake haukuhitKulikuwa hakuna chochote mtu chake uwe na amani kabisa ila kukojoleana na lee siwezi hata nizidiwe vipiii
No sina namba zako tokea nichange simu niliikosaa
Anko shikamoo kwa kukuvunjia heshima...labda hujabanwa mkojo wewe,ukikubana unaweza kukojoa popote, niliwahi kukojoa nyuma ya basi nikienda iringa.
Oh, sorry, sikusoma hadi mwisho, kumbe ni kukojoleana? Okay, kukojoleana si hadi msuguane/mlombane
...labda hujabanwa mkojo wewe,ukikubana unaweza kukojoa popote, niliwahi kukojoa nyuma ya basi nikienda iringa.
Oh, sorry, sikusoma hadi mwisho, kumbe ni kukojoleana? Okay, kukojoleana si hadi msuguane/mlombane
Kojooooooooo kojooooooooo woiiiiiiBinamu sio mkojo wa kawaida ni mkojo wa kukulana
Man fongo kumbe ndo maana wimbo wake haukuhit
Oooooh nitext kama kweli unayo mm sina bt sorryOooh kumbe basi nilikutanaga na kivuli nikajua nimekula block