Makapuku Forum

Makapuku Forum

Walinipiga sana,,,, Walinidunda, lakini siogopi! Nitarudi Uganda
Screenshot_20180907-132628.jpeg
 
Mitumba: '

'Maradhi ya ngozi zaidi ndio husababishwa na ukweli kwamba huenda aliyekuwa anazitumia hizo nguo alikuwa na tatizo la ngozi'' Daktari Fredrick Mashili wa hospitali ya taifa Muhimbili Tanzania

Screenshot_20180907-132810.jpeg
 
Wafanyakazi kwenye kiwanda cha foxconn ambacho kinatengeneza bidhaa za Apple nchini China, mazingira wanayofanyia kazi ni magumu kiasi cha kwamba wanalazimishwa wasije wakachukua hatua za kujiua kutokana na kuathirika kiakili na ugumu wa kazi kwenye viwanda hivyo, mpaka sasa watu 11 wamejiua kutokana na hali mbaya kwe ye viwanda hivyo.

Kwa kawaida mishahara yao ni dola 600 - 800 kwa mwezi ila mazingira ya kutengeneza hizo iphone, ipad, na i zingine si rafiki kwa binadamu.


View attachment 859230
Ndomana Divices zao zinauzwa bei juu sana aisee!
 
Mfanyabiashara mmoja raia wa China aliyenaswa kwenye video fupi iliyosambaa katika mitandao ya kijamii hapo jana akiwatusi wakenya na rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amefukuzwa.

Idara ya uhamiaji ilifuta hati yake ya kufanya kazi nchini Kenya na kumtimua.
Wizara ya Usalama wa ndani imekuwa ikiendesha operesheni kali dhidi ya wageni wasio na kibali ya kuwa nchini Kenya.



Screenshot_20180907-132958.jpeg
 
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makapuku haizimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
tapatalk_1534529665683.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom