Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kocha wa timu ya taifa ya Brazil, Tite, leo amemthibitisha Neymar Jr kuwa nahodha wa kudumu wa timu hiyo ya taifa.

Mbebe wangu Neymar hongera



Screenshot_20180907-131841.jpeg
 
Maisha yangu kwa sasa yapo Manchester . Bado nina mkataba. Kwa sasa nacheza pale , lakini nani anayejua nini kitatokea katika miezi kadhaa ijayo."
.
Pogba amesisitiza kwamba yeye na Mourinho wana mahusiano ya kikazi kamilifu.
.
. " Tuna mahusiano halisi ya kocha -mchezaji , hiyo ni sahihi. Kitu kimoja ambacho naweza kukuhakikishia , mara zote nitakuwa najitoa kwa asilimia 100, haijalishi ni kocha gani, mara zote nitajitoa kwa kila kitu ndani ya Man United. Siwezi kusema zaidi."
Screenshot_20180907-132125.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom