Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Mwambie ninaacha pombe sasa hivi..Kaniambia umeshalewa
Nimechaguliwa mzee wa kanisa

Mwambie ninaacha pombe sasa hivi..Kaniambia umeshalewa

Mwambie ninaacha pombe sasa hivi..
Nimechaguliwa mzee wa kanisa![]()






🤸🤸🤸🤸🤸 NakojoaaaaaaaaaaaaaaaaaNaaacha kweli..🤸🤸🤸🤸🤸 Nakojoaaaaaaaaaaaaaaaaa
Naaacha kweli..
Sasa hivi nakunywa home tuu. Wala silewi kama enzi zile.
Hayo mambo yatafika kweli..![]()
Hivi siku ya kwanza kunywa ilikuwaje?Mm sitakagi kuwa muongo kabisa kwenye swala la pombe
Hivi siku ya kwanza kunywa ilikuwaje?
Siku ya pili savana?Nilianza na redds

Jembe langu,cotton juiceInawezekana mchezaji mmoja akiondoka kwenye timu akaharibu mfumo mzima wa uchezaji katika timu husika? Jibu ni NDIYO.
:
Kiungo wa zamani wa Simba Amri Kiemba amesema hii kitu ilishawahi kuwakuta Simba baada ya beki wa kati Kelvin Yondani kusajiliwa na Yanga.
:
"Kipindi tunacheza Simba aliondoka Yondani, ni kipindi ambacho Simba ilinunua mabeki wengi na kuwaacha, walikuja wacongo na kina Keita yote katika kutafuta kuziba pengo la Yondani"-Amri Kiemba.
:
"Kwa wakati huo safu ya ulinzi ilitengenezwa kupitia Yondani baada ya Owino kuondoka. Kwa hiyo Yondani akawa muhimili wa ulinzi mabeki wote walikuwa wanacheza kwa kutegemea Yondani anachezaje."
:
"Alipoondoka Simba ilikuwa inajaribu kwa njia zote inapataje mtu kama Yondani, ndio kipindi ambacho ilipoteza pesa nyingi kununua walinzi kwa wakati huo."
:
Timu gani nyingine imewahi kuhangaika baada ya kuondokewa na mchezaji wake muhimuView attachment 859253
Hapana nilendele nacho kwa mda mrefu badae nikaja kubadili kunywa miller beer sijui kama ipo hii beerSiku ya pili savana?![]()
Wale mlioanza na Champgainne mseme piaNilianza na redds


















.
He he ngoja wakujeWale mlioanza na Champgainne mseme pia
Mkasogea hadi kwenye Malta..
Mkasogea hadi kwenye bavaria
Mkaanza kunywa Tonic na Sweet wines..
Kidogo mkaanza wine...! Oooh mimi nakunywaga wine tuu
Mara paaap! Dompo ina 18% ..jaribu beee ipo chini kidogo
Mara paaaaaap !!!
Ukaanza kukata safari na ndovu.
Kilevi kitu bhanaaa! Kama demu anavyotongowa tuu