1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
Shunie


KaribuuTunaendelea na je wajua na shunie shunie
Shiiiiishiii ! Ni ngumu sana kukaba mkabajiKumbe upo mombasa T chondechonde wasije wakakuteka usirudi


Shiiiiishiii ! Ni ngumu sana kukaba mkabaji![]()
Wale wa viuno mbananoo kazi kwenuUtafiti mpya unaonesha kwamba wanawake wenye shepu (curvy women) ndiyo wenye uwezo wa kuzaa watoto wenye akili sana.
Profesa Will Lassek kutoka chuo cha Pittsburg nchini Marekani ambaye aliongoza utafiti huo anasema "mafuta yaliyokuwa kwenye maeneo yaliyojaza sana kwenye mwili wa mwanamke kama;- makalio makubwa, mapaja, na kwenye hips yanasaidia sana kuimarisha DHA (Docosahexaenoic Acid) ambayo ni moja kati ya kijenzi muhimu sana kwenye ubongo wa binadamu.
Kiasi kikubwa cha mafuta ambayo yanahitajika katika kuimarisha ubongo wa mtoto yanatoka kwenye hifadhi ya mafuta iliyokuwa kwenye mapaja na makalio, hivyo wanawake wenye maumbile makubwa kwenye sehemu hizo basi na watoto wao watakuwa na akili sana.
Pia utafiti mwingine uliofanywa 2009, kutoka chuo cha St Andrews huko Scotland unaonesha wanaume wengi wanapenda wanawake wenye shepu (curvy women) kwa sababu wanaonekana ndiyo wenye afya zaidi.
Hivyo ukitaka kutengeneza ka Einstein kingine unajua cha kufanya...
Haya sasa kazi ipo tusiokuwa na shape woiiiii View attachment 859205
Wale wa viuno mbananoo kazi kwenu
Ndivyo mwasemaga huku mnakulaHahaha, vya watu sio vzr ujue
Na aje tuu lakini najua utakuwa umempanga tayariAtakujaaa kusema ukweliii ....
Nimekumis lakin hujapokea simu zangu leo lakin
Una utan na watuAcha tupambane na hali yetu tu hakuna namna
Mfano waseme watumiajii wa iphone wanasapotiii hicho kituUnajua kwamba mkurugenzi mtendaji wa Apple kwa sasa Tim Cook ambaye anafahamika kama mmoja kati ya watu mashuhuri na wenye ushawishi mkubwa nchini Marekani, amejitangaza kwamba yeye ni shoga na anafurahi kufanya kazi kwenye kampuni kubwa ya teknolojia ambayo inaunga mkono mashoga.
View attachment 859208

Pigaa bhasiiiiNa aje tuu lakini najua utakuwa umempanga tayari
Hahahha kulikuwa na radi ndo mana sikupokea
It is not true!Utafiti mpya unaonesha kwamba wanawake wenye shepu (curvy women) ndiyo wenye uwezo wa kuzaa watoto wenye akili sana.
Profesa Will Lassek kutoka chuo cha Pittsburg nchini Marekani ambaye aliongoza utafiti huo anasema "mafuta yaliyokuwa kwenye maeneo yaliyojaza sana kwenye mwili wa mwanamke kama;- makalio makubwa, mapaja, na kwenye hips yanasaidia sana kuimarisha DHA (Docosahexaenoic Acid) ambayo ni moja kati ya kijenzi muhimu sana kwenye ubongo wa binadamu.
Kiasi kikubwa cha mafuta ambayo yanahitajika katika kuimarisha ubongo wa mtoto yanatoka kwenye hifadhi ya mafuta iliyokuwa kwenye mapaja na makalio, hivyo wanawake wenye maumbile makubwa kwenye sehemu hizo basi na watoto wao watakuwa na akili sana.
Pia utafiti mwingine uliofanywa 2009, kutoka chuo cha St Andrews huko Scotland unaonesha wanaume wengi wanapenda wanawake wenye shepu (curvy women) kwa sababu wanaonekana ndiyo wenye afya zaidi.
Hivyo ukitaka kutengeneza ka Einstein kingine unajua cha kufanya...
Haya sasa kazi ipo tusiokuwa na shape woiiiii View attachment 859205
