Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapa ni chupa ngapi za ugimbi ? Shayo hataki hizi kazoea zile zingine 😉 😉
IMG_20180905_090019.jpg
 
Eti babe hivi unaanzajee uache tukiwa bar we hunywi unatununulia tunaokunywa
😂😂😂kwanza moyo huo sina chee,.niwanunulie bia,mkunywe,mlewe,muinjoi,mcheze mziki na kuimba kwa nguvu,mruke ruke,mgonge chiazz,muongee kiingereza,.afu mimi niwaangalie tuu tena nilipie..hapana jamanii "I want a beer" na Mimi woii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom