Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hahaa... Wangeanza wakina jet lee huko kutushitakiHuyo Lee itoe bana watu wasije wakatushtaki na majina yao












acha tumissiane tu maka akee
Hapa hoi hoi kwa kukumisi swahiba wangu, kipenzi changu mwenyewe.
Nzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpyaHbr ya kupotea
Hahaa... Wangeanza wakina jet lee huko kutushitaki![]()
![]()
Nzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpya
Nongwa km watoto wa mganga.Si unawajua wabongo kwa nongwa maka akee



🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸 nakojoaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nongwa km watoto wa mganga.
Hakuna jipya jamani we lea tuu mwenzanguNzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpya
Nahisi hakuna, labda wenzangu.
Waache wakae kimya tu....ukimywa wao kuna mawili, hawana jipya na wamenuna sababu mchana wameshindia mahindi ya kuchoma yenye chachandu ya mbilimbi au ukimya wao wanadhani ipo siku hawatastaafu tuwe tunashiriki nao kwenye vikao vya kudai mafao