Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85] bunye bunye wezereeeeeee churaaaaa wowowoooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85] bunye bunye wezereeeeeee churaaaaa wowowoooo
Hahaa... Wangeanza wakina jet lee huko kutushitaki[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo Lee itoe bana watu wasije wakatushtaki na majina yao
Hapa hoi hoi kwa kukumisi swahiba wangu, kipenzi changu mwenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakuwa shunie lee siku hizi.[emoji23] [emoji23]
Nzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpyaHbr ya kupotea
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Usipite shemela.
Karibu kiti uketi
Hahaa... Wangeanza wakina jet lee huko kutushitaki[emoji23] [emoji23]
Kwa kweli![emoji8] [emoji8]Wouzeeeee wouzeeeerrr [emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] acha tumissiane tu maka akee
Nzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpya
Nongwa km watoto wa mganga.Si unawajua wabongo kwa nongwa maka akee
....hongera, asante kwa kuniambia jambo jipya la zamani
Nongwa km watoto wa mganga.
Hakuna jipya jamani we lea tuu mwenzanguNzuri sana nalea mtoto na ndoa kuna habari gani mpya
Nahisi hakuna, labda wenzangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]....hongera, asante kwa kuniambia jambo jipya la zamani
Waache wakae kimya tu....ukimywa wao kuna mawili, hawana jipya na wamenuna sababu mchana wameshindia mahindi ya kuchoma yenye chachandu ya mbilimbi au ukimya wao wanadhani ipo siku hawatastaafu tuwe tunashiriki nao kwenye vikao vya kudai mafao